KUPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME VYANZO VYA TATIZO NA MATIBABU

 CHANZO, DALILI & TIBA


UTANGULIZI – LIJUE TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME


Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. atizo hili huripotiwa kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kuto kuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.


Hili tatizo huwanyima watu raha kwa kuwa na mawazo, kuwa na matatizo katika mahusiano, watu wengi wenye tatizo hili wanahitaji kutumia dawa zisizo na madhara na kubadilisha mitindo ya maisha yao ili kuweza kurudisha hali zao na kuondoa tatizo, cha msingi ni kuzingatia yale utakayoelekezwa.


Kuna matatizo ya kutofanya mapenzi kikamilifu, nayo ni; kuwahi kumwanga mbegu za uzazi, Kuto kumwaga, kutokuwa na hamu ya tendo la ndoamaxresdefault (1)


CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME


Tatizo la nguvu za kiume lina vyanzo vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;


Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo

Kuvuta sigala na unywaji wa pombe

Uzito kupita kiasi na unene uliozidi

Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi

Kisukari

Kuwa na mawazo na wasiwasi

Matumizi ya madawa mbalimbali

Umri hasa wazee

Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili

Kuwa na tatizo la kibofu

Tabia za kujichua kwa mda mrefu

Kutopata usingizi kamili

Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa kama kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME


Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo

DALILI ZA UGONJWA WA NGIRI CHANGA


Dalili za ugonjwa huu wa ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu.

Nazo ndizo hizi zifuatazo⤵

1πŸ“ŽKubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.

2πŸ“ŽKupiga mingurumo tumboni.

3πŸ“ŽKujaa gesi tumboni.

4πŸ“ŽKuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.

5πŸ“ŽKupata haja ngumu kama ya mbuzi.

6πŸ“ŽKukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.

7πŸ“ŽWakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.

8πŸ“ŽUnaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.

9πŸ“ŽNuru ya macho hupotea taratibu.

10πŸ“ŽHutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.

11πŸ“ŽHuvutwa makende au upande mmoja maumivu.

12πŸ“ŽHupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.

13πŸ“ŽMaumivu makali ya mgongo au kiuno

14πŸ“ŽUume kusimyaa na kunywea kama wa mtoto


15 πŸ“ŽMaumivu kati ya paja na kinena na hupelekea mguu kuwaka moto /kupata ganzi 


16πŸ“Ž Kupata maumivu katikati ya kifua mithili ya chembe ya moyo (hiatal hernia)


17πŸ“Ž Tumbo kujaa na kuonekana kama una kitambi kumbe ni gas.


18πŸ“Ž Ukila vitu vyevye sukari nying kama soda nk tumbo huunguruma sana na kujaa gas


19πŸ“Ž Kuvimba kwa korodan ama korodan kupanda juu(moja ama zote kwa pamoja)


Wasiliana nami

0684450076


Watsapp

0684450076


Comments

Popular posts from this blog

Madhra ya Punyeto Kwa Mwanaume

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 π—­π—œπ—‘π—”π—­π—’ 𝗙𝗔𝗑𝗬𝗔 𝗠π—ͺπ—”π—‘π—”π—¨π— π—˜ π—”π—¦π—›π—œπ—‘π——π—ͺπ—˜ π—¦π—œπ— π—”π— π—œπ—¦π—›π—” π—©π—œπ—­π—¨π—₯π—œ π—¨π—¨π— π—˜

DALILI ZA HORMONE ZA KIUME ZILIZO ZIDI KWA MWANAMKE