UVIMBE KWENYE KIZAZI(FIBROIDS)

 FIBROIDS ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambapo uvimbe huu unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi au nje kwenye ukuta wa kizazi


Je utajuaje kama una fibroids?? Hebu angalia dalili zake


πŸ’₯DALILI ZA FIBROIDS

πŸ‘‰Kutokwa damu nyingi kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi au wakati wa hedhi

πŸ‘‰Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya(wengi wenu huwa mnakimbilia kwamba mna fangas)

πŸ‘‰Maumivu ya kiuno hasa wakati wa hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe

πŸ‘‰Tumbo kuuma sana chini ya kitovu

πŸ‘‰Hedhi zisizikua na mpangilio na damu hutoka nyingi mpk kupelekea wengine kupungukiwa damu na kutakiwa kuongezewa damu

πŸ‘‰Maumivu wakati wa tendi la ndoa(hii hupelekea achukie tendo la ndoa)

πŸ‘‰Kukosa kwa choo kikubwa au choo kuwa kigumu(constipation)

πŸ‘‰Maumivu wakati wa kukojoa

πŸ‘‰Kukojoa mara kwa mara

πŸ‘‰Ugumba(kuchelewa au kutokupata mtoto)

πŸ‘‰Mimba kutoka mara kwa mara

πŸ’₯Kama wewe n muhanga wa uvimbe kwenye kizazi au kwenye ovary karibu

Piga

0684450076

Watsapp

0684450076


Comments

Popular posts from this blog

Madhra ya Punyeto Kwa Mwanaume

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 π—­π—œπ—‘π—”π—­π—’ 𝗙𝗔𝗑𝗬𝗔 𝗠π—ͺπ—”π—‘π—”π—¨π— π—˜ π—”π—¦π—›π—œπ—‘π——π—ͺπ—˜ π—¦π—œπ— π—”π— π—œπ—¦π—›π—” π—©π—œπ—­π—¨π—₯π—œ π—¨π—¨π— π—˜

DALILI ZA HORMONE ZA KIUME ZILIZO ZIDI KWA MWANAMKE