UVIMBE KWENYE KIZAZI(FIBROIDS)
FIBROIDS ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambapo uvimbe huu unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi au nje kwenye ukuta wa kizazi
Je utajuaje kama una fibroids?? Hebu angalia dalili zake
π₯DALILI ZA FIBROIDS
πKutokwa damu nyingi kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi au wakati wa hedhi
πKutokwa na uchafu wenye harufu mbaya(wengi wenu huwa mnakimbilia kwamba mna fangas)
πMaumivu ya kiuno hasa wakati wa hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe
πTumbo kuuma sana chini ya kitovu
πHedhi zisizikua na mpangilio na damu hutoka nyingi mpk kupelekea wengine kupungukiwa damu na kutakiwa kuongezewa damu
πMaumivu wakati wa tendi la ndoa(hii hupelekea achukie tendo la ndoa)
πKukosa kwa choo kikubwa au choo kuwa kigumu(constipation)
πMaumivu wakati wa kukojoa
πKukojoa mara kwa mara
πUgumba(kuchelewa au kutokupata mtoto)
πMimba kutoka mara kwa mara
π₯Kama wewe n muhanga wa uvimbe kwenye kizazi au kwenye ovary karibu
Piga
0684450076
Watsapp
0684450076
Comments