SABABU ZA KIDOLE TUMBO NA MATIBABU BILA UPASUAJI
Posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa wa Kidole ambao kitaalamu hujulikana Kama Appendicitis.
Kidole tumbo husababisha maumivu kwenye tumbo la chini la kulia.
Hata hivyo, kwa watu wengi, maumivu huanza karibu na kitovu na kisha kusonga. Kadiri uvimbe unavyozidi kuwa mbaya, maumivu ya appendicitis huongezeka na hatimaye huwa makali.
Nini kinasababisha ugonjwa wa kidole tumbo?
kidole tumbo husababishwa na vitu vifuatavyo.
minyoo kuingia ndani ya kidole tumbo
vitu vya nje ya mwili kama mchanga.
kinyesi kujaa na kuingia hapo
kuvimba kwa tezi za tumboni.
DALILI
ππΌ
Ishara na dalili za kidole tumbo(appendicitis)
1.Maumivu ya ghafla ambayo huanza upande wa kulia wa tumbo la chini
2. Maumivu ya ghafla ambayo huanza karibu na kitovu chako na mara nyingi huhamia kwenye tumbo lako la chini la kulia
3. Maumivu ambayo huongezeka ikiwa unakohoa, kutembea au kufanya harakati zingine za kusumbua
4.Kichefuchefu na kutapika
5.Kupoteza hamu ya kula
6.Homa ya kiwango cha chini ambayo inaweza kuwa mbaya zaidi kadiri ugonjwa unavyoendelea
7.Kuvimbiwa au Kuharisha
8.Kuvimba kwa tumbo
Dalili muhimu.
ππΌ
rovsing sign; ukikandamiza upande wa kushoto chini, maumivu yanahamia upande wa tumbo chini kushoto
psoas sign; mgonjwa atakutwa amelala huku amekunja mguu wa kulia na akiuunyosha anasikia maumivu.
obtrurator sign; ukiuchukua mguu wa kuume wa mgonjwa na kuukunja na kuuzungusha kwa ndani unasikia maumivu
MATIBABU YAPO BILA UPASUAJI ILA MARA NYINGI WAGONJWA WANAJIKUTA WAMECHELEWA NA TATIZO LIPO HATUA MBAYA HIVYO KUITAJI UPASUAJI ILA KAMA UTAWAI UNAPONA BILA UPASUAJI. piga 0684450076
Comments