MIPASUKO/MICHANIKO KWENYE ULIMI NA TIBA YAKE
TATIZO LA MIPASUKO KATIKA ULIMI
π Ulimi wa mtu kwa
mipasuko tiba piga 0684450076 |
kawaida hautakiwi kuwa na mipasuko ya aina yoyote .
Sasa hawa watu wenye ulimi uliopasuka huwa hawana maumivu , isipokua tu labda kama kuna chakula kimekwama kwenye hiyo mipasuko ndio muhusika atahisi maumivu
π Mipasuko hii huweza kuwa iliyochimbika sana au kiasi tu.
Wazee ndio hupatwa sana na hii mipasuko ya ulimi , japo yeyote yule anaweza kuwa na ulimi wa hivi.
Wanaume ndio huwa zaidi na tatizo hili kuliko wanawake
π€ NINI HUSABABISHA HALI HII ?
Hadi sasa , wataalamu hawajui ni nini hupelekea hali hii ya mipasuko kwenye ulimi , japo ina amini kwamba watu wenye undugu (genetics) huweza kuwa na tatizo hili na wengine wasiwe nalo . mfano katika familia , unaweza kuta mzazi ana tatizo hili na watoto pia
.
Mfano : Kuna tafiti ilifanyika na ikabaini kwamba watu wa South Africa ni 0.6% tu ya watu wote ndio wana tatizo hili la mipasuko kwenye ulimi , lakini Katika Taifa la Israel 30.6% ya watu wote ndio wana hii hali. Sasa unaweza ona kwamba swala la jamii fulani yenye mfanano wa kigenetiki huweza kuwa na hii hali ya mipasuko na jamii nyingine isiwe nayo
π€ TATIZO HILI LA MIPASUKO KATIKA ULIMI HUWA NA UHUSIANO NA MAMBO KAMA HAYA :
☂ Geographic tongue
☂ Kuvimba kwa lips na uso kutokana na matatizo ya neva
.
☂ Upungufu wa virutubisho muhimu kwa mwili n.k
MATIBABU
Tatizo hili kiufupi linatibika ivyo akikisha unafuata ushauri hapo
π€ USHAURI
Ubaya wa hii mipasuko ni kwamba endapo chakula kitabakia kwenye hiyo mipasuko , itapelekea bacteria kuzaliana , maumivu na hata kupelekea harufu mbaya ya kinywa na hata kuchangia meno kuharibika
Muhusika pia anakua katika mazingira marahisi ya kushambuliwa na fungus wa kinywa (candinda ablicans) , ikiwa imekutokea basi dawa zipo , onana na daktari sasa nikupe suruhisho la kudumu.
π Hakikisha unafanya usafi wa kinywa angalau mara mbili kila siku
Suruhisho la tiba kuondoa mipasuko na kufanya uwe na kinywa chenye afya
Piga
0684450076
Comments