SABABU YA MATATIZO YA MACHO KUTOONA VIZURI

 SABABU YA MATATIZO YA MACHO!!..πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ


watu wengi sana siki hizi wamejikuta wakipata matiizo mbalimbali ya macho hasa maumivu makali,macho kuwasha,kutokuona vizuri , maumivu ya kichwa au macho kuwa mekundu bila kujua sababu ni upi..




 SABABU YA UGONNJWA WA MACHO


🌻🌻🌻🌻


🩺 *LISHE DUNI!!!* 

lishe duni hasa yenye upungufu wa madini ya zinc, OMEGA3, vitamini A,C na E, hudhohofisha nguvu misuli ya macho  na hivyo kupata changamoto ya kuona .



🩺 *MWANGA MKALI SANA* !!

wengine hujisamea kwenye taa za mwanga mkali hivyo kuumiza macho na kuchisha misuli ya macho na hatimaye macho kuuma au kuwa makavu sana..


🩺 *MAGONJWA YANAYOHUSIANA NA MACHO* .

watu wenye magonjwa kama vile KISUKARI,PRESHA, ALBINO nk hukumbwa na tatizo la macho kwa muda mrefu.


🩺 *MCHAFUKO WA DAMU AU SUMU NYINGI MWILINI* !!.

matumizi ya dawa zenye kemikali mara kwa mara, uvutaji wa sigara na mchafuko wa damu husababisha maumivu ya kichwa,kukosa usingizi na matatizo ya kutokuona vizuri..


🩺 ATHARI ZA KEMIKALI KWENYE MACHO

Wengine hujikuwa wakiwa vipofu au kutokuona vizuri kutokana na kumwagikiwa na tindikali au kemikali hatari sana machoni.


🩺 *ATHARI ZA VINASABA NA MAGONJWA 6A KURITHI..* 

kuna watoto wengine huzalishwa wakiwa tayari wana matatizo ya macho hivyo kuwa na ulemavu huo .


🩺 *UZEE AU UMRI MKUBWA* 

kutokana na uchakavu wa mwili na seli mbalimbali ikiwemo macho,wazee wengi huwa na tatizo la macho..



🩺 JE UMESUMBUKA SANA KWA MATATIZO YA MACHO KWA MUDA MREFU BILA SULUHISHO LA KUDUMU? 🍏🍏🍏


 JIPATIE TIBA BORA YA VIRUTUBISHO ITAKAYOTIBU TATIZO LAKO BILA MADHA NA KUBORESHA UONO WAKO

0684450076

Comments

Popular posts from this blog

MIPASUKO/MICHANIKO KWENYE ULIMI NA TIBA YAKE

KUVIMBA KWA KORODANI NA MAUMIVU YA KORODANI SABABU NA TIBA

ONDOA MSONGO WA MAWAZO NA REJESHA KUMBUKUMBU