SABABU YA MATATIZO YA MACHO KUTOONA VIZURI
SABABU YA MATATIZO YA MACHO!!..πππ
watu wengi sana siki hizi wamejikuta wakipata matiizo mbalimbali ya macho hasa maumivu makali,macho kuwasha,kutokuona vizuri , maumivu ya kichwa au macho kuwa mekundu bila kujua sababu ni upi..
SABABU YA UGONNJWA WA MACHO
π»π»π»π»
π©Ί *LISHE DUNI!!!*
lishe duni hasa yenye upungufu wa madini ya zinc, OMEGA3, vitamini A,C na E, hudhohofisha nguvu misuli ya macho na hivyo kupata changamoto ya kuona .
π©Ί *MWANGA MKALI SANA* !!
wengine hujisamea kwenye taa za mwanga mkali hivyo kuumiza macho na kuchisha misuli ya macho na hatimaye macho kuuma au kuwa makavu sana..
π©Ί *MAGONJWA YANAYOHUSIANA NA MACHO* .
watu wenye magonjwa kama vile KISUKARI,PRESHA, ALBINO nk hukumbwa na tatizo la macho kwa muda mrefu.
π©Ί *MCHAFUKO WA DAMU AU SUMU NYINGI MWILINI* !!.
matumizi ya dawa zenye kemikali mara kwa mara, uvutaji wa sigara na mchafuko wa damu husababisha maumivu ya kichwa,kukosa usingizi na matatizo ya kutokuona vizuri..
π©Ί ATHARI ZA KEMIKALI KWENYE MACHO
Wengine hujikuwa wakiwa vipofu au kutokuona vizuri kutokana na kumwagikiwa na tindikali au kemikali hatari sana machoni.
π©Ί *ATHARI ZA VINASABA NA MAGONJWA 6A KURITHI..*
kuna watoto wengine huzalishwa wakiwa tayari wana matatizo ya macho hivyo kuwa na ulemavu huo .
π©Ί *UZEE AU UMRI MKUBWA*
kutokana na uchakavu wa mwili na seli mbalimbali ikiwemo macho,wazee wengi huwa na tatizo la macho..
π©Ί JE UMESUMBUKA SANA KWA MATATIZO YA MACHO KWA MUDA MREFU BILA SULUHISHO LA KUDUMU? πππ
JIPATIE TIBA BORA YA VIRUTUBISHO ITAKAYOTIBU TATIZO LAKO BILA MADHA NA KUBORESHA UONO WAKO
0684450076
Comments