CHANZO CHA KUKOSA UJA UZITO FAHAMU

 HOMON IMBALANCE (KUVURUGIKA KWA HOMONI)CHANZO CHA KUKOSA MTOTO


:Hili ni tatizo linalowakumba wakina mama(wanawake) wengi ambalo husababishwa na kiwango kidogo cha hormone ya ESTROGEN.


*VYANZO VYA KUVURUGIKA KWA HORMONE*

➡Utoaji wa mimba

➡Uwepo wa sumu mwilini.

➡kutokula mlo uliokamili au mfumo mbovu wa maisha.

➡Family history(upungufu wa ongezeko ya homoni ya progesterone

➡mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa.

➡uzito mkubwa

➡Msongo wa mawazo.

➡Kutofanya mazoezi.

➡Matumizi ya kisasa ya uzazi wa mpango.

➡Kukoma kwa hedhi.


*Dalili za kuvurugika kwa homoni*

✅Maumivu wakati wa tendo LA ndoa.

✅Kutoshika mimba.

✅Mzunguko wa hedhi kubadilika.

✅Kuongezeka uzito.

✅Kupungua hamu ya tendo LA ndoa.

✅Kupoteza kumbukumbu.

✅Hasira za Mara kwa Mara.

✅Damu kutoka nyingi wakati wa hedhi au kutoa damu yenye mabongemabonge

✅Uke kuwa mkavu.

✅kutoka jasho jingi usiku.

✅maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi

✅mzio wa vyakula/Allerg kuchaguachagua vyakula.



*Madhara ya kuvurugika kwa homoni*

✔kutoshika ujauzito kwa mda mrefu.

✔Mimba kuharibika Mara kwa Mara.

✔Kuwa mgumba.

✔U.t.I Mara kwa Mara.

✔Uvimbe kwenye via vya uzazi wa mwanamke.(fibroids)

✔kuziba kwa mirija ya uzazi.

saratani.


Hormone imbalance inatibika ondoa shaka,,jali afya yako

Piga

0684450076👪

Comments

Popular posts from this blog

KUVIMBA KWA KORODANI NA MAUMIVU YA KORODANI SABABU NA TIBA

MIPASUKO/MICHANIKO KWENYE ULIMI NA TIBA YAKE

ONDOA MSONGO WA MAWAZO NA REJESHA KUMBUKUMBU