Posts

Showing posts from April, 2023

MAUMUVU WAKATI WA KUKOJOA NA TIBA

Image
 *Maumivu Wakati wa Kukojoa Yanavyotokea* Maumivu wakati wa kukojoa hutokana na kuchubuka kwa njia ya mkojo.  Kuchubuka huku hutokea pale njia ya mkojo inaposhambuliwa na bakteria au kemikali na kuharibu ukuta wa juu wa njia ya mkojo hivyo huwa kama kidonda na wakati mwengine kuwa na kijiuvimbe kwenye njia ya mkojo. Pale mkojo unapopita eneo hili basi unapata maumivu kama ya kuungua.  Maumivu haya yanaweza kutokea wakati wote unakojoa, mwanzoni au mwishoni mwa kukojoa. Kwa watoto wadogo, mara nyingi hulia wakati wanakojoa ikiwa wanapata maumivu kwani hawawezi kuongea. Pia yanaweza kuambatana na dalili nyingine kama homa, kutokwa na usaha au uchafu sehemu za siri, kutokwa mkojo wenye damu damu, maumivu chini ya kitovu au maumivu ya ubavu (flanks). *Sababu za Maumivu Haya* Maumivu haya hutegemea na chanzo cha ugonjwa unaoleta dalili hii.  Baadhi ya vyanzo vya maumivu wakati wa kukojoa ni: *Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI)* Ugonjwa huu huleta maumivu kama ya kuungua kwenye njia ya mokojo

RUDISHA NGUVU ZA KIUME NA KUIMARISHA MISURI YA UUME

Image
 Rudisha Nguvu za Kiume Ndani ya Siku 21 Tu, Hata Kama Ushatumia Kila Aina Ya Dawa Bila Mafanikio. Je, wewe ni Mwanamme uliyepoteza tumaini kutokana na changamoto ya NGUVU za kiume ? licha ya kutumia kila dawa, bado umeshindwa kutatua changamoto hiyo ? Hebu niambie ... Furaha Yako hivi SASA imetoweka ? Uume wako husinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo wakati wa kujamiana ? Uume wako husimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza ? Hukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza ? Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi ? Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri ? Hufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena tendo ? Hutoa mbegu hafifu, chache nyepesi kama maji ? Unashindwa kumpa mpenzi wako ujazuzito ? Pole Sana...! . Haya ni matatizo wanayopitia wanaume wengi sana kwa sasa. . Hali hii inatokana na changamoto mbali mbali za maisha, athari za magonjwa sugu na kujichua. .

SABABU YA MWANAMKE KUKOSA HISIA ZA KIMAPENZII

Image
  MAMBO  YANAYO PUNGUZA HISIA ZA MAPENZI KWA MWANAMKE 🛍️Uzito mkubwa Uliokithiri. 🛍️Uzito mdogo uliokithiri 🛍️Msongo wa Mawazo  (Migogoro, Ugomvi) 🛍️Kupanda kwa homoni ya Prolactin Kitalamu hyperprolactinemia 🛍️Kushuka kwa Homoni ya Estrogen 🛍️Maradhi ya Tezi ya Shingo(Thyroid disorders) Graves' disorder na Hashimoto's thyroiditis 🛍️Kuwa na Kisukari Kilicho Jificha (Pre diabetes) na Kuwa na Kisukari rasmi. 🛍️Kutawala kwa homoni za kiume Kitalamu Hyperandrogenism.  🛍️Mwili kuwa kwenye Msongo wa Sumu ziitwazo Free radicals Kitalamu tunaita Oxidative stress 🛍️Maradhi sugu kwenye njia za uzazi  Mfano Zinaa,Kansa ya kizazi,Fistula,HPV,HSV-2 nk. Maradhu humkosesha mwanamke amani na uhuru juu ya mwili wake. Kwa changamoto mbalimbali za uzazi wasiliana nasi kupitia Namba ya Daktari whaspp iniboxs upewe maerekezo ya matibabu+255684450076