SABABU YA MWANAMKE KUKOSA HISIA ZA KIMAPENZII
MAMBO YANAYO PUNGUZA HISIA ZA MAPENZI KWA MWANAMKE
π️Uzito mkubwa Uliokithiri.
π️Uzito mdogo uliokithiri
π️Msongo wa Mawazo
(Migogoro, Ugomvi)
π️Kupanda kwa homoni ya Prolactin
Kitalamu hyperprolactinemia
π️Kushuka kwa Homoni ya Estrogen
π️Maradhi ya Tezi ya Shingo(Thyroid disorders)
Graves' disorder na Hashimoto's thyroiditis
π️Kuwa na Kisukari Kilicho Jificha (Pre diabetes) na Kuwa na Kisukari rasmi.
π️Kutawala kwa homoni za kiume
Kitalamu Hyperandrogenism.
π️Mwili kuwa kwenye Msongo wa Sumu ziitwazo Free radicals Kitalamu tunaita Oxidative stress
π️Maradhi sugu kwenye njia za uzazi
Mfano Zinaa,Kansa ya kizazi,Fistula,HPV,HSV-2 nk. Maradhu humkosesha mwanamke amani na uhuru juu ya mwili wake.
Kwa changamoto mbalimbali za uzazi wasiliana nasi kupitia Namba ya Daktari whaspp iniboxs upewe maerekezo ya matibabu+255684450076
Comments