SABABU YA MWANAMKE KUKOSA HISIA ZA KIMAPENZII

 


MAMBO  YANAYO PUNGUZA HISIA ZA MAPENZI KWA MWANAMKE


πŸ›️Uzito mkubwa Uliokithiri.

πŸ›️Uzito mdogo uliokithiri

πŸ›️Msongo wa Mawazo

 (Migogoro, Ugomvi)

πŸ›️Kupanda kwa homoni ya Prolactin

Kitalamu hyperprolactinemia

πŸ›️Kushuka kwa Homoni ya Estrogen

πŸ›️Maradhi ya Tezi ya Shingo(Thyroid disorders)

Graves' disorder na Hashimoto's thyroiditis

πŸ›️Kuwa na Kisukari Kilicho Jificha (Pre diabetes) na Kuwa na Kisukari rasmi.

πŸ›️Kutawala kwa homoni za kiume

Kitalamu Hyperandrogenism. 

πŸ›️Mwili kuwa kwenye Msongo wa Sumu ziitwazo Free radicals Kitalamu tunaita Oxidative stress

πŸ›️Maradhi sugu kwenye njia za uzazi 

Mfano Zinaa,Kansa ya kizazi,Fistula,HPV,HSV-2 nk. Maradhu humkosesha mwanamke amani na uhuru juu ya mwili wake.


Kwa changamoto mbalimbali za uzazi wasiliana nasi kupitia Namba ya Daktari whaspp iniboxs upewe maerekezo ya matibabu+255684450076

Comments

Popular posts from this blog

Madhra ya Punyeto Kwa Mwanaume

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 π—­π—œπ—‘π—”π—­π—’ 𝗙𝗔𝗑𝗬𝗔 𝗠π—ͺπ—”π—‘π—”π—¨π— π—˜ π—”π—¦π—›π—œπ—‘π——π—ͺπ—˜ π—¦π—œπ— π—”π— π—œπ—¦π—›π—” π—©π—œπ—­π—¨π—₯π—œ π—¨π—¨π— π—˜

DALILI ZA HORMONE ZA KIUME ZILIZO ZIDI KWA MWANAMKE