FAHAMU UGONJWA WA P.I.D NA MATIBABU

 ðŸ”»JE WAJUA NINI MAANA YA MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI? JIFUNZE SASA, SABABU, DALILI, MADHARA, NA TIBA 🔻


Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Diseases au kwa kifupi PID, ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake. 

▪️CERVIX  hali ambayo hujulikana kama cervicitis,

▪️ ENDOMETRIUM kitabibu huitwa endometritis,

▪️ FALLOPIAN TUBES  kitabibu kama salpingitis.


🔻 P. I. D HUSABABISHWA NA NINI? 🔻


 Aina kadhaa za vimelea kuhusishwa na PID, 

▪️ Neisseria Gonorrhoeae

▪️Chlamydia trachomatis

ndivyo vinavyoongoza kwa umaarufu zaidi katika kusababisha PID kwa akina mama.


Je mwanamke huambukizwaje PID?


Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na


▪️Kufanya ngono isiyo salama

▪️Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)

▪️Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage)

▪️Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) kama njia mojawapo ya uzazi wa mpango, na

▪️Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID.

🔻DALILI ZA PID NI ZIPI 🔻


Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID. Miongoni mwa dalili hizi ni


▪️ maumivu ya tumbo hasa  chini ya kitovu

▪️Kupata maumivu ya mgongo

▪️Mwanamke kupata utoko mchafu sehemu za siri.  ▪️harufu mbaya sehemu za siri 

▪️Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa

▪️Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa

▪️Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi

▪️Kupata homa


🔻VIPIMO VYA PID🔻


Ili kuweza kutambua kama mwanamke ameambukizwa ugonjwa huu, tabibu anaweza kufanya vipimo kadhaa vikiwemo


▪️Kuchunguza mkojo

▪️Kupima damu 

▪️Kuchukua utando unaozunguka shingo ya uzazi 

▪️Mgonjwa pia anaweza kufanyiwa ultrasound ya nyonga ili kuangalia kama kuna athari yeyote katika mfumo wake wa uzazi.


🔻MATIBABU YA P. I. D🔻

Matibabu ya ugonjwa huu yanapatikana na ugonjwa unaisha kirahis ikiwa umepata dose sahihi.


Piga simu sasa 0684450076


Comments

Popular posts from this blog

MIPASUKO/MICHANIKO KWENYE ULIMI NA TIBA YAKE

KUVIMBA KWA KORODANI NA MAUMIVU YA KORODANI SABABU NA TIBA

ONDOA MSONGO WA MAWAZO NA REJESHA KUMBUKUMBU