FAHAMU UGONJWA WA P.I.D NA MATIBABU
π»JE WAJUA NINI MAANA YA MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI? JIFUNZE SASA, SABABU, DALILI, MADHARA, NA TIBA π»
Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Diseases au kwa kifupi PID, ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake.
▪️CERVIX hali ambayo hujulikana kama cervicitis,
▪️ ENDOMETRIUM kitabibu huitwa endometritis,
▪️ FALLOPIAN TUBES kitabibu kama salpingitis.
π» P. I. D HUSABABISHWA NA NINI? π»
Aina kadhaa za vimelea kuhusishwa na PID,
▪️ Neisseria Gonorrhoeae
▪️Chlamydia trachomatis
ndivyo vinavyoongoza kwa umaarufu zaidi katika kusababisha PID kwa akina mama.
Je mwanamke huambukizwaje PID?
Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na
▪️Kufanya ngono isiyo salama
▪️Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)
▪️Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage)
▪️Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) kama njia mojawapo ya uzazi wa mpango, na
▪️Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID.
π»DALILI ZA PID NI ZIPI π»
Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID. Miongoni mwa dalili hizi ni
▪️ maumivu ya tumbo hasa chini ya kitovu
▪️Kupata maumivu ya mgongo
▪️Mwanamke kupata utoko mchafu sehemu za siri. ▪️harufu mbaya sehemu za siri
▪️Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
▪️Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
▪️Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi
▪️Kupata homa
π»VIPIMO VYA PIDπ»
Ili kuweza kutambua kama mwanamke ameambukizwa ugonjwa huu, tabibu anaweza kufanya vipimo kadhaa vikiwemo
▪️Kuchunguza mkojo
▪️Kupima damu
▪️Kuchukua utando unaozunguka shingo ya uzazi
▪️Mgonjwa pia anaweza kufanyiwa ultrasound ya nyonga ili kuangalia kama kuna athari yeyote katika mfumo wake wa uzazi.
π»MATIBABU YA P. I. Dπ»
Matibabu ya ugonjwa huu yanapatikana na ugonjwa unaisha kirahis ikiwa umepata dose sahihi.
Piga simu sasa 0684450076
Comments