FAHAMU UGONJWA WA P.I.D NA MATIBABU

 πŸ”»JE WAJUA NINI MAANA YA MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI? JIFUNZE SASA, SABABU, DALILI, MADHARA, NA TIBA πŸ”»


Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Diseases au kwa kifupi PID, ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake. 

▪️CERVIX  hali ambayo hujulikana kama cervicitis,

▪️ ENDOMETRIUM kitabibu huitwa endometritis,

▪️ FALLOPIAN TUBES  kitabibu kama salpingitis.


πŸ”» P. I. D HUSABABISHWA NA NINI? πŸ”»


 Aina kadhaa za vimelea kuhusishwa na PID, 

▪️ Neisseria Gonorrhoeae

▪️Chlamydia trachomatis

ndivyo vinavyoongoza kwa umaarufu zaidi katika kusababisha PID kwa akina mama.


Je mwanamke huambukizwaje PID?


Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na


▪️Kufanya ngono isiyo salama

▪️Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)

▪️Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage)

▪️Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) kama njia mojawapo ya uzazi wa mpango, na

▪️Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID.

πŸ”»DALILI ZA PID NI ZIPI πŸ”»


Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID. Miongoni mwa dalili hizi ni


▪️ maumivu ya tumbo hasa  chini ya kitovu

▪️Kupata maumivu ya mgongo

▪️Mwanamke kupata utoko mchafu sehemu za siri.  ▪️harufu mbaya sehemu za siri 

▪️Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa

▪️Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa

▪️Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi

▪️Kupata homa


πŸ”»VIPIMO VYA PIDπŸ”»


Ili kuweza kutambua kama mwanamke ameambukizwa ugonjwa huu, tabibu anaweza kufanya vipimo kadhaa vikiwemo


▪️Kuchunguza mkojo

▪️Kupima damu 

▪️Kuchukua utando unaozunguka shingo ya uzazi 

▪️Mgonjwa pia anaweza kufanyiwa ultrasound ya nyonga ili kuangalia kama kuna athari yeyote katika mfumo wake wa uzazi.


πŸ”»MATIBABU YA P. I. DπŸ”»

Matibabu ya ugonjwa huu yanapatikana na ugonjwa unaisha kirahis ikiwa umepata dose sahihi.


Piga simu sasa 0684450076


Comments

Popular posts from this blog

Madhra ya Punyeto Kwa Mwanaume

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 π—­π—œπ—‘π—”π—­π—’ 𝗙𝗔𝗑𝗬𝗔 𝗠π—ͺπ—”π—‘π—”π—¨π— π—˜ π—”π—¦π—›π—œπ—‘π——π—ͺπ—˜ π—¦π—œπ— π—”π— π—œπ—¦π—›π—” π—©π—œπ—­π—¨π—₯π—œ π—¨π—¨π— π—˜

DALILI ZA HORMONE ZA KIUME ZILIZO ZIDI KWA MWANAMKE