MAUMIVU WAKATI WA HEDHI NA TIBA

 Nini sababu ya maumivu makali ya hedhi?

1.kuota kwa tishu (nyamnyama) maeneo mengine tofauti na tumbo la mimba. Kitaalam hali hii inatambulika


kama endometriosis. Hali pia inaweza kuwa na dalili zifuatazo:-

A.Kutokwa na damu nyingi sana wakati wa hedhi

B.Hedhi kuchukuwa siku zaidi ya 7

C.Kutokwa na damu kabla ya siku za hedhi kufika

D.Maumivu ya tumbo

E.Maumivu wakati wa tendo la ndoa

F.Kupata maumivu wakati wa haja kubwa.

G.Kuchelewa kupata ujauzito



2.Shida kwenye mfumo wa homoni, hali hii kitaalamu inatambulika kama Polycystic Ovary Syndrome (PCOS). hali hii ni ya kawaida sana takribani kwa kila wanawake 10 mmoja wao huwa na hali hii. Miongoni mwa sababu kuu ni kuwa na homoni za kiume nyingi (androgens) na kutokuwa na siku maalumu za kupata hedhi. Hali hii inaweza kuwa na dalili kama:

A.Kutokwa na damu nyingi sana

B.Kupata hedhi kwa muda mrefu

C.Kuota ndevu ama mwele kuwa nyingi maeneo mbali mbali ya mwili kama ilivyo kwa wanaume

D.Kuwa na uzito mwingi na usio rahisi kuupunguza

E.Kuota chunusi

F.Kunyonyoka kwa nywele na kukosa afya

G.Kuwa na madoa madoa meusi kwenye ngozi



3.kuwa na uvimbe kwenye kizazi kitaalamu hali hii hutambulika kama fibroids. Huu I uvimbe usio wa saratani unaoota kwenye tumb la mimba. Unaweza kuwa uvimbe mmoja ama zaidi. Unaweza pia kuwa na uvimbe bila ya kuonyesha dalili zozote hali hii ikichanganyika na maumivu ya chango inaweza kuonyesha dalili kaka:

A.Maumivu ya mgongo kwa chini

B.Maumivu ya miguu

C.Kupata damu nyingi ya hedhi

D.Kupata hedhi zaidi ya wiki

E.Kukosa choo kikubwa

F.Kukojoakojoa mara kwa mara

G.Kushindwa kumaliza mkojo wote.



4.kuwa na maambukizi ama mashambulizi ya bakteria, fangasi ama virusi kwenye kizazi. Kitaalamu hii huitwa Pelvic Inflammatory disease au maarufu kama PID. Miongoni mwa dalili zake ni:-

A.Maumivu wakati wa tendo la ndoa

B.Kutokwa na damu kabla ya hedhi na baada ya hedhi

C.Kutokwa na majimaji yanayotoa harufu kwenye uke

D.Maumivu wakati wa kukojoa

E.Homa

F.Kutokwa na damu kidogo kabla ya kuingia hedhi na baada ya kuingia hedhi



5. Maumbile ya kwenye shingo ya uzazi kitaalamu huitwa cervical stenosis, hii ji hali ambayo mlango wa shingo ya kizazi unakuwa ni mdogo sana. Huenda mwanamke amezaliwa ivyo ama mlango umeziba baadaye.



6.kukaza kwa tishu (nyamnyama) za kwenye tumbo la mimba kitaalamu hai hii inatambulika kama (andenomyosis). hali hii hutokea pale nyamnayma laiki za kwenye tumbo la mimba zinapokuwa ngumu na kubadilika kuwa misuli.



7.matumizi ya baadhi ya njia za kuthibiti uzazi kama Intrauterine Device (IUD). hiki ni kifaa kidogo kinachowekwa kwenye tumbo la mimba. Kijikifaa hiki mwa wanawake wengine kinaweza kuwaletea shida za kiafya kama:

A. Maumivu makali wakati wa hedhi

B. Kutokuwa na siku maalumu za hedhi yaani hedhi inaruka ruka

C. Kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi


Suruhisho

0684450076

Comments

Popular posts from this blog

Madhra ya Punyeto Kwa Mwanaume

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 π—­π—œπ—‘π—”π—­π—’ 𝗙𝗔𝗑𝗬𝗔 𝗠π—ͺπ—”π—‘π—”π—¨π— π—˜ π—”π—¦π—›π—œπ—‘π——π—ͺπ—˜ π—¦π—œπ— π—”π— π—œπ—¦π—›π—” π—©π—œπ—­π—¨π—₯π—œ π—¨π—¨π— π—˜

DALILI ZA HORMONE ZA KIUME ZILIZO ZIDI KWA MWANAMKE