Posts

Showing posts from March, 2023

CHANZO CHA KUKOSA UJA UZITO FAHAMU

Image
 HOMON IMBALANCE (KUVURUGIKA KWA HOMONI)CHANZO CHA KUKOSA MTOTO :Hili ni tatizo linalowakumba wakina mama(wanawake) wengi ambalo husababishwa na kiwango kidogo cha hormone ya ESTROGEN. *VYANZO VYA KUVURUGIKA KWA HORMONE* ➡Utoaji wa mimba ➡Uwepo wa sumu mwilini. ➡kutokula mlo uliokamili au mfumo mbovu wa maisha. ➡Family history(upungufu wa ongezeko ya homoni ya progesterone ➡mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa. ➡uzito mkubwa ➡Msongo wa mawazo. ➡Kutofanya mazoezi. ➡Matumizi ya kisasa ya uzazi wa mpango. ➡Kukoma kwa hedhi. *Dalili za kuvurugika kwa homoni* ✅Maumivu wakati wa tendo LA ndoa. ✅Kutoshika mimba. ✅Mzunguko wa hedhi kubadilika. ✅Kuongezeka uzito. ✅Kupungua hamu ya tendo LA ndoa. ✅Kupoteza kumbukumbu. ✅Hasira za Mara kwa Mara. ✅Damu kutoka nyingi wakati wa hedhi au kutoa damu yenye mabongemabonge ✅Uke kuwa mkavu. ✅kutoka jasho jingi usiku. ✅maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi ✅mzio wa vyakula/Allerg kuchaguachagua vyakula. *Madhara ya kuvurugika kwa homoni* ✔kutoshika uja

ONDOA MSONGO WA MAWAZO NA REJESHA KUMBUKUMBU

Image
 Je unajua maajabu ya Cerebrain? Cerebrain  nikirutubisho kilichotengenezwa na mmea mashuhuri kwa sifa yake ya uponyaji unaoitwa Gingko Biloba... naomba uusome (google) tena Mmea wa Gingko biloba Kazi kubwa za Cerebrain/Gingko biloba ----------------------------------------------------------------- 1. kuzipa *uhai cells* za ubongo kwa kuhakikisha zinafanya kazi vizuri 2.Husaidia wenye matatzo ya kupoteza kumbukumbu 3.Huwasaidia waliopata shida ya masikio kutosikia vizuri/maskio kupiga kelele kitaalam kama *tinnitus* 4.Huwasaidia wenye shida ya macho kama itatumikana carovision 5.Husaidia watu wanaosikia uchovu mara kwa mara... kichwa kuuma au kukosa usingizi 6.Ninzur kwa wanaofanya kazi za *kompyuta...* 7..inasaidia kufanya damu kuwa nyepesi.. hivo kusaidia mawasiliano katika *ubongo* na viungo vingine mwilini 8..Huwasaidia wale wanaopata shida ya *mkojo* kutoka bila kuzuia..  iwe usiku au mchana 9.Nzuri kwa wanafunzi 18+yrs.*wanachuo wanaopenda kuongeza performance* yao kwani huongeza

MADHARA YA KUTOFANYA MAPEBZI KWA MUDA MREFU

Image
 MADHARA YA KUTOFANYA MAPENZI KWA MUDA MREFU. 1. Hasira za mara kwa mara kwa mambo madogo. 2. Kupendelea sana kuangalia picha za uchi. 3. Kusahausahau. 4. Kupendelea story za mapenzi, 5. Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (wadada). 6. Kupenda kurukiarukia mambo ya watu Wengine (Kufuatilia yasiyokuhusu). 7. Kuumwa na kichwa. 8. Kukakamaa mgongo (wanaume). 9. Kupoteza umakini katika kazi. 10. Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi. 11. Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo kama mbadala, mfano ulevi nk. Suruhisho piga 0684450076

DALILI ZA HORMONE ZA KIUME ZILIZO ZIDI KWA MWANAMKE

Image
 Dalili za kwamba una homoni za kiume zilizozidi Kwa Mwanamke na Tiba yake. 👇🏼 😥kuota nywele nyeusi usoni kifuani, mgondoni, kwenye mikono, mapaja ama sehemu zingine ambazo siyo kawaida kwa wanawake. 😥Chunusi nyingi kupita kiasi 😥Kuota kipara 😥Matiti kuwa madongo sana 😥Misuli kukua na kujaa 😥Kisimi kuwa kirefu sana sauti nzito ✊🏽Nini kinapelekea mwanamke kuota ndevu? Kila mtu ana vinyweleo kwenye ngozi yake na ni jambo la kawaida kabisa. Kazi ya vinyweleo hivi ni kurekebisha joto la mwili kwa kuruhusu jasho kutoka ama mwili utunze maji. Wakati wa kubalehe, homoni za kiume(androgens) huongezeka sana na kupelekea vinyweleo hivi kuwa vikubwa mpaka kuwa nywele kamili ambayo ni ndefu na nyeusi.  Hii ni kwa wote mwanamke na mwanaume. Wote wana homoni za kike na za kiume ndani yao, ila tu mwanamke ana homoni kidogo za kiume na mwanaume ana homoni kidogo za kike. Homoni hizi huendelea kubadilika kadiri umri wako unavosogea, unavobadilika uzito, kushika mimba na pia unavokaribia kukoma

SABABU ZA KUSHINDWA RUDIA TENDO NA TIBA

Image
 leo tuangalie kanuni 5 ambazo Unaweza kuzitumia, Na zikakusaidia kurudia tendo la ndoa kirahisi zaidi. Kanuni ya WANZA👇 ➡️ Jua UWEZO WAKO wa kurudia tendo, Je unarudia baada ya dk 5 au dk 10, au dk 30 au Ngapi?? Kumbuka kila mmoja ana uwezo wake binafsi. Kama hauujui pia USIWAZE endelea kusoma ujumbe huu mpaka mwisho.... Kanuni ya PILI👇 ➡️ Hakikisha unajizuia USISINZIE baada ya kumaliza cha kwanza, Tunafahamu kwamba unapo maliza round ya kwanza, Huwa kuna ka usingizi ka kishetani kanatupitia, Ili usiweze kurudia bao la Pili, 🙈 Sasa haka ka usingizi unatakiwa KUKAKEMEA kwa kufanya mambo yafuatayo; ▪️ OGA maji ya vuguvugu kama utaweza. ▪️Kama wewe ni Muislamu basi SHIKA UDHU. Huo usingizi hautakupata na utarudia tendo la ndoa vizuri tu. Kanuni ya TATU👇 ➡️ Piga story za KUONGEZA HISIA na mke wako, Wakati ukipiga nae stori shika zile sehem Ambazo, Huwa unazitamani zaidi kwa mke wako, Inaweza kuwa makalio, Chuchu, nywele n.k Hii itakusaidia kukupa muhemko wa kurudia bao la pili na la t

NJIA ZA KUONDOKANA NA KIBAMIA/UUME MDOGO KAMA MTOTO

Image
 *Watu wenye tatizo hili la kibamia wamegawanyika katika sehem mbili* Kuna wale ambao uume wao ukiwa umesimama, Ndo unaonekana MKUBWA, Lakini ukiwa umelala unaonekana MDOGO, Huyu tunasema hana tatizo la KIBAMIA, Na haitaji tiba yoyote. Lakini pia kuna wale ambao uume ukiwa HAUJASIMAMA, Unaonekana Kibamia na ukiwa UMESIMAMA pia unaonekana Kibamia, Huyu tunasema analo tatizo la kibamia. ➡️ Sasa basi tuone sababu 5 zinazo Pelekea Tatizo hili la Kibamia; ▪️ HORMONES Katika mwili kuna Hormone Inayohusika na ukuaji wa Viungo, Hormone hii inapo kua Chini hupelekea viungo vya mwili, Kukua taratibu ikiwemo uume pia. ▪️ KITAMBI Kitambi kinasababisha uume kurudi ndani, Hivyo kama una kitambi na una Kibamia ujue chanzo ni kitambi. Ijapokuwa kuna wengine wana kitambi na mashine ipo vizuri tu. ▪️ POMBE NA SIGARA Pombe na sigara vyote kwa pamoja vinasababisha uume kusinyaa, Kutokana na kemikali zinazo patikana katika vitu hivo. ▪️ MAWAZO / STRESS Mawazo yakizidi ni sababu ya mtu kuwa na Kibamia. ▪️ V