Posts

Madhra ya Punyeto Kwa Mwanaume

Image
 MADHARA ya kupiga punyeto Yafuatayo ni madhara ya kupiga punyeto au wengine huita puli(masturbation)  ❤1. punyeto humfanya uume kua lege lege na kuonekana mdogo/kibamia na usio jaza yaani mwembamba kabla ya awali  ❤2. Husababisha mwanamume kutoa mbegu haraka kipindi cha tendo la ndoa na mwanamke na kushindwa kumfikisha mwanamke kileleni.... (Premature ejaculation) anaweza akajikuta akigusa tu nanii ndani ya dakika cha he mheshimiwa anatapika.  ❤3. Ni moja ya chanzo Kikuu cha kupoteza nguvu za kiume, uume kusinyaa na kukosa nguvu kwa sababu ya kuharibu mishipa ya fahamu wakati MTU akijisugua katika kulitafuta bao  ❤4. Hupunguza idadi ya mbegu za kiume (low sperm count) hivyo ni mbaya sana kwa watu wanaotafuta mtoto na huleta infection na kusababisha,manii kuwa nyepesi na unapofanya jimai manii kutoka kwa mkewe badala ya kuingia ukeni na huweza kuwa sababu ya kutopata mtoto  ❤5. Husababisha mtu kusahau sahau sana na kushindwa kufanya vitu kwa makini zaidi  ❤6. Huleta utumwa wa kifikra k

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗭𝗜𝗡𝗔𝗭𝗢 𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗨𝗠𝗘 𝗔𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗪𝗘 𝗦𝗜𝗠𝗔𝗠𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗩𝗜𝗭𝗨𝗥𝗜 𝗨𝗨𝗠𝗘

Image
 𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗭𝗜𝗡𝗔𝗭𝗢 𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗨𝗠𝗘 𝗔𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗪𝗘 𝗦𝗜𝗠𝗔𝗠𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗩𝗜𝗭𝗨𝗥𝗜 𝗨𝗨𝗠𝗘 𝗪𝗔𝗞𝗘 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗪𝗔 𝗟𝗘𝗚𝗘 𝗟𝗘𝗚𝗘 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗪𝗔 𝗥𝗨𝗗𝗜𝗔 𝗧𝗘𝗡𝗗𝗢 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗧𝗜𝗕𝗔. Hisia za tendo la ndoa kwa mwanaume ni mchakato tatanishi unaohusisha ubongo, homoni, hisia, mishipa ya fahamu, misuli na mishipa ya damu. Hali ya uume kushindwa kudindisha inaweza kutokana na matatizo yanayokuwa katika sehemu hizo nilizozitaja.      Vile vile, msongo wa mawazo na magonjwa ya akili yanaweza kusababisha hali ya uume kushindwa kudinda au kusimama  Wakati mwingine mchanganyiko wa matatizo ya mwili na akili husababisha uume kuishiwa nguvu. Kwa mfano, hali ndogo ya mwili ambayo inayopunguza hamu ya tendo la ndoa inaweza kusababisha mashaka juu ya kurekebisha afya ya uume wako kuweza kudindisha. °°Matatizo Ya Mwili Yanayosababisha Uume Kushindwa Kudindisha: Katika visa vingi mbalimbali, kupungukiwa nguvu za kiume husababishwa na kitu cha kimwili. 𝕍

SABABU ZA KIDOLE TUMBO NA MATIBABU BILA UPASUAJI

Image
 Posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa wa Kidole ambao kitaalamu hujulikana Kama Appendicitis. Kidole tumbo husababisha maumivu kwenye tumbo la chini la kulia.  Hata hivyo, kwa watu wengi, maumivu huanza karibu na kitovu na kisha kusonga. Kadiri uvimbe unavyozidi kuwa mbaya, maumivu ya appendicitis huongezeka na hatimaye huwa makali. Nini kinasababisha ugonjwa wa kidole tumbo? kidole tumbo husababishwa na vitu vifuatavyo. minyoo kuingia ndani ya kidole tumbo vitu vya nje ya mwili kama mchanga. kinyesi kujaa na kuingia hapo kuvimba kwa tezi za tumboni. DALILI 👇🏼  Ishara na dalili za kidole tumbo(appendicitis)  1.Maumivu ya ghafla ambayo huanza upande wa kulia wa tumbo la chini 2. Maumivu ya ghafla ambayo huanza karibu na kitovu chako na mara nyingi huhamia kwenye tumbo lako la chini la kulia 3. Maumivu ambayo huongezeka ikiwa unakohoa, kutembea au kufanya harakati zingine za kusumbua  4.Kichefuchefu na kutapika  5.Kupoteza hamu ya kula  6.Homa ya kiwango cha chini ambayo inaweza

SABABU ZA MWANAUME KUSHINDWA MPA UJAUZITO MWANAMKE

Image
 ```NGUVU YA MEN'S KIT PACKAGE KWENYE MFUMO WA UZAZI WA MWANAUME💪🏿👇``` Mwanaume, aibu za kuwahi kufika kileleni zinaepukika Kushindwa tungisha ujauzito zinaepukika. Anza Tiba Leo. ZIJUE FAIDA ZAKE ITAKUSAIDIA; ➡️Kuondoa tatizo la Kuwahi kufika kileleni ➡️Kuongeza uzalishaji wa mbegu za kiume ivyo kusaidia kutungisha ujauzito kwa halaka ➡️Kuondoa tatizo la Homon Imbalance ➡️Kuzuia maumivu ya korodani na Korodani kupanda juu ➡️Kuimarisha na Kuongeza nguvu katika mirija ya uume ➡️Kuupa Msuli wa Pelvic nguvu ➡️Kuepusha uume Kusinyaa katikati ya tendo la ndoa ➡️Kuzalisha mbegu Zenye ubora na kuzuia Ugumba/Utasa kwa mwanaume ➡️Kusafisha kibofu Cha Mkojo ➡️Kuzuia na kutibu maambukizi kwenye Uzazi, maumivu ya mgongo na tumbo kwa mwanaume ➡️Kuzuia Korodani kuvimba au kusinyaa *USIHANGAIKE TENA MWANAUME💪🏿💯* *#WASILIANA NASI. PIGA/WHATSAPP;  +255684450076 . Bei. Tsh150000

TATIZO LA KUWAI KUFIKA KILELENI NA MATIBABU YAKE

Image
 TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI MAPEMA  (Pre mature ejaculation ) Pre mature ejaculation ni nini? Hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mke  wake. Tatizo hili limekua likiwapata wanaume wengi na kujisikia aibu mbele za wenzi wao pale wanaposhindwa kuendelea kabisa baada ya hali hii kutokea. Kimsingi mwanaume anatakiwa achukue dakika nane mpaka kumi na tano kabla ya kutoa mbegu za kwanza lakini watafiti wanasema tatizo hili hugundukiwa mtu anapotoa mbegu ndani ya dakika moja au kabla ya dakika moja. Tatizo hili huweza kutokea mara tu baada ya kubalehe,{primary pre mature ejaculation}  Muda mrefu baada ya kubalehe{secondary PE} au kutokana na aina ya mwanamke uliompata.{situational PE} Chanzo ni nini? Tatizo hili halina sababu za kitaalamu zilizofanyiwa utafiti zikakakubalika ila wanasayansi wanaamini sababu zifuatazo zinaweza kua chanzo kikuu cha tatizo hilo. ✔️Kupiga punyeto au kujichua; Mara

MADHARA YA PUNYETO YANAVYO SABABISHA UUME KUWA MDOGO KAMA WA MTOTO MDOGO

Image
 Mtu anayepiga punyeto husababisha mambo yafuatayo katika mwili wake : 1. Huua nguvu ya mishipa & misuli ya uume ambayo ndio inayo husika na kusimama kwa uume 2. Mishipa ya uume inapo sinyaa na kukosa nguvu yake ya asili, husababisha mambo yafuatayo : i. Huondoa uwezo wa mishipa & misuli ya uume kutanuka, na hii ndio sababu inayo wafanya waathirika wa punyeto kutumia nguvu nyingi sana katika kuufanya uume usimame. ii. Huondoa uwezo wa mishipa & misuli ya uume kuibana na kuiziba mishipa ya vena, na hii ndio sababu inayo fanya waathirika wa punyeto kufika kileleni haraka sana, kwani damu inayo ingia kwenye misuli ya uume hufyonzwa ndani ya muda mfupi sana. Hii hutokea kwa sababu mishipa na misuli ya uume inakuwa imelegea,na mishipa ya vena inakuwa imepwaya, hivyo msuguano wowote ule hufanya mishipa ya vena kufunguka na kufyonza damu kutoka kwenye mishipa ya uume na hivyo kuufanya uume kusinyaa ndani ya dakika ama sekunde chache sana. 3. Vile vile punyeto hufanya uume kusinyaa

SABABU ZINAZO SABABISHA UPUNGUFU NGUVU ZA KIUMME

Image
 𝗞𝗨𝗛𝗜𝗠𝗜𝗟𝗜 𝗧𝗘𝗡𝗗𝗢 𝗩𝗜𝗭𝗨𝗥𝗜 zingatia 𝗠𝗔𝗠𝗕𝗢 𝗠𝗔𝗡𝗡𝗘 (4) yawe imara katika mwili wako ili kufanya performance yako iwe imara muda wote. 𝟭) √𝗠𝘇𝘂𝗻𝗴𝘂𝗸𝗼 𝘄𝗮 𝗗𝗮𝗺𝘂 ©Hapa ndipo performance ya tendo ilipolalia kwa asilimia zaidi ya 70 Ili usimamishe imara na Muda mrefu Damu inatakiwa ifike ya kutosha kwenye dhakari yako. 𝟮) ✓𝗠𝗶𝘀𝘂𝗿𝗶 ©Hapa ni mhimu sana maana mashine yako haiwezi kuwa bora kama misuri imelegea inaweza kuwa chanzo ni punyeto,Maradhi ya Muda mrefu mpangilio mbovu wa vyakula Unene kuzidi n.k 𝟯) ✓𝗛𝗼𝗿𝗺𝗼𝗻𝗶 ©Hapa ni muhimu sana maana Ili taarifa za msisimko wa tendo ziendelee kudumu kwa Muda mrefu mwilini inahitaji hormoni ziwe sawa Ili kukufanya ufikilie tendo tu na usipoteze hisia. 𝟰) ✓𝗠𝗺𝗲𝗻𝗴'𝗲𝗻𝘆𝗼 𝘄𝗮 𝗰𝗵𝗮𝗸𝘂𝗹𝗮. ©Hapa ni muhimu sana maana Ili mwili uweze kuvuta madini , protein na vitamins ambazo zinahitajika sana katika mwili ili kukuweka imara zinahitaji usafi wa utumbo wako.Kumbuka kupata choo kigumu kukosa choo k

FAHAMU UGONJWA WA P.I.D NA MATIBABU

Image
 🔻JE WAJUA NINI MAANA YA MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI? JIFUNZE SASA, SABABU, DALILI, MADHARA, NA TIBA 🔻 Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Diseases au kwa kifupi PID, ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake.  ▪️CERVIX  hali ambayo hujulikana kama cervicitis, ▪️ ENDOMETRIUM kitabibu huitwa endometritis, ▪️ FALLOPIAN TUBES  kitabibu kama salpingitis. 🔻 P. I. D HUSABABISHWA NA NINI? 🔻  Aina kadhaa za vimelea kuhusishwa na PID,  ▪️ Neisseria Gonorrhoeae ▪️Chlamydia trachomatis ndivyo vinavyoongoza kwa umaarufu zaidi katika kusababisha PID kwa akina mama. Je mwanamke huambukizwaje PID? Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na ▪️Kufanya ngono isiyo salama ▪️Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period) ▪️Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage) ▪️Kutumia

MATIBABU CHOO KIGUMU TUMBO KUJAA GESI

Image
 FAIDA ZA CONSTIRELAX #Inasafisha tumbo vizuri mno na kuondoa hali ya kuvimbiwa (constipation) #Inaondoa sumu zote tumboni ○ Inaondoa dalili za Bawasiri sugu (Acute Hemorrhoids) kama kuvimba, kutoka damu. #Inaboresha mzunguko wa maji maji mwilini na kuondoa viuvimbe vinavyo sababishwa na maji maji. #Inasaidia kutibu aina mbali mbali ya vidonda vya tumbo (Peptic & Gastric) #Tiba nzuri ya Mawe kwenye figo. #Inaboresha ngozi yako kwa kuondoa sumu ndani. #Inaondoa gesi na uchafu wote usiotakiwa tumboni .  ● VIUNGO (INGREDIENTS) #FOS (Fructo-oligosaccharide #Radix Astragali #Prebiotic  ● MATUMIZI ○ Sachet 1 mara 2 kwa siku kabla ya chakula ○ Kwa watoto nusu Sachet mala 2 kwa siku kabla ya chakula kwa siku.  ● TAHADHARI ○ Kwa watakaotumia mara ya kwanza wengine itawaletea hari ya kuvulugwa tumbo na hata kuhara au gasi na kuunguruma kwa tumbo Hii ni kawaida inatokana na kusafisha tumbo na kuondoa bacteria (phenomenon) hali itaisha kadri anavyoendelea kutumia. Piga simu 0684450076 Kujipati

AFYA NA UZIMA SOMA HAPA

Image
 AFYA NA UZIMA     Afya na Uzima tupo hapa kukupa ushauri wa namna bora ya kuishi, jinsi ya kujikinga na magonjwa yasiyo ambukiza ili kua mzima mwenye afya bora. Tunatoa huduma popote ulipo kwa njia ya simu kwa kupitia vituo vyetu vilivyopo Tanzania nzima. Tunazo bidhaa bora zitakazokupa afya na uzima Tunapatikana Dar-es-salaam, Dodoma, Arusha, Mwanza, na mikoa yote.  kwa mawasiliano   TUNATOA MATIBABU NA USHAURI KWA MIFUMO YOTE YA MWILI KWA KUSHUGHULIKIA CHANZO CHA TATIZO KWA KUTOA BIDHAA BORA KWA CHANGAMOTO ZIFUATAZO. v  Mfumo wa viungo na mifupa v  Mfumo wa uzazi v  Kinga ya mwili v  Mfumo wa damu v  Kupunguza uzito v  Mfumo wa mmeng’enyo wa chakula. v  Makuzi na afya bora kwa watoto v  Bidhaa za afya kwa matumizi ya kila siku nyumbani v  N.k                                                BIDHAA ZA VIUNGO NA MIFUPA. Ø ARTHROXTRA.     - Ni muhimu sana kwa Afya za viungo vya mwili, wafanya mazoezi, wanajeshi, wacheza mpira, wamama wote, wanaopenda wanaopenda kuvaa viatu virefu(high he

KUPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME VYANZO VYA TATIZO NA MATIBABU

Image
  CHANZO, DALILI & TIBA UTANGULIZI – LIJUE TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. atizo hili huripotiwa kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kuto kuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba. Hili tatizo huwanyima watu raha kwa kuwa na mawazo, kuwa na matatizo katika mahusiano, watu wengi wenye tatizo hili wanahitaji kutumia dawa zisizo na madhara na kubadilisha mitindo ya maisha yao ili kuweza kurudisha hali zao na kuondoa tatizo, cha msingi ni kuzingatia yale utakayoelekezwa. Kuna matatizo ya kutofanya mapenzi kikamilifu, nayo ni; kuwahi kumwanga mbegu za uzazi, Kuto kumwaga, kutokuwa na hamu ya tendo la ndoamaxresdefault (1) CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME Tatizo la nguvu

UGONJWA WA P.I.D (PELVICS INFLAMATORY DESEAS) DALILI,CHANZO,MADHARA NA MATIBABU

Image
  Wadada/Wanawake wanasumbuliwa sana huu ugonjwa ujumuishao magonjwa ya kizazi na via vyake pamoja na viungo vingine vinavoundwa kwa kulindwa na mifupa ya nyonga.  P.I.D ni kifupi cha maneno ya Pelvic Inflammatory Disease yaani maambukizi katika kifuko cha kizazi cha mwanamke. Tunaposema mfumo wa uzazi tunamaanisha mji wa mimba ( mfuko wa uzazi ) mirija ya uzazi pamoja na viungo vya jirani. P.I.D inasababishwa na maambukizi ya magonjwa ya  klamidia na kisonono pia bakteria wengine wanaweza kusababisha P.I.D wakati mwingine P.I.D husababishwa na bakteria zaidi ya aina moja. KUFANYA HAYA KUNAKUWEKA KATIKA HALI YA HATARI ZAIDI KUPATA P.I.D  >Kushiriki ngono na wapenzi wengi tofauti tofauti.  >Kushiriki ngono na mwasirika wa magonjwa ya zinaa.  >Kuchangia vifaa vya kuogea kama taulo >Kuweka vitu vyenye kemikali ukeni kama vile sabuni, povu la sabuni, marashi. >Kukaa na pedi 1 mda mrefu wakati wa hedhi.  >Kua mchafu  >Kubana mkojo kwa mda mrefu  >Kujojisafisha vizuri

GANZI KWENYE MIGUU,MIKONO NA MAENEO MENGINE CHANZO NA MATIBABU

Image
  Ganzi ni moja ya tatizo/ugonjwa unaowakumba watu wengine sana na ni tatizo ambalo linakera sana kwa sababu hata unapoenda hospitali Mara nyingi hawapati tatizo lolote NINI HASWA CHANZO CHA TATIZO HILI 1:UMRI Kawaida mtu anapokua umri umeenda, mwili mzima uzeeka pamoja na mfumo mzima wa damu, hii husababisha mishipa midogo midogo ya damu kufa, au kuziba hii husababisha chakula na hewa ya oksijeni kutofika kwa ufasaha maeneo ya mbali kama miguuni na vidoleni hali hii hupeleekea mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa safi hivyo ganzi hutokea 2:KISUKARI Sukari inapokua nyingi kwenye mzunguuko wa damu hupelekea kuunguza mishipa ya damu halo hii husababisha mishipa kusinyaa ambalo hupelekea hewa ya oksijeni na chakula kutofika kwa ufadsaha maeneo ya mbali sana kama miguuni na mikononi hali hii husababisha mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa hivyo husababisha ganzi 3:DAMU NZITO Damu inapokua nzito pia  hupelekea MTU kupata tatizo LA ganzi kwa ni husababisha kutofika kwa damu kwenye m

UVIMBE KWENYE KIZAZI(FIBROIDS)

Image
  FIBROIDS ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambapo uvimbe huu unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi au nje kwenye ukuta wa kizazi Je utajuaje kama una fibroids?? Hebu angalia dalili zake 💥DALILI ZA FIBROIDS 👉Kutokwa damu nyingi kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi au wakati wa hedhi 👉Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya(wengi wenu huwa mnakimbilia kwamba mna fangas) 👉Maumivu ya kiuno hasa wakati wa hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe 👉Tumbo kuuma sana chini ya kitovu 👉Hedhi zisizikua na mpangilio na damu hutoka nyingi mpk kupelekea wengine kupungukiwa damu na kutakiwa kuongezewa damu 👉Maumivu wakati wa tendi la ndoa(hii hupelekea achukie tendo la ndoa) 👉Kukosa kwa choo kikubwa au choo kuwa kigumu(constipation) 👉Maumivu wakati wa kukojoa 👉Kukojoa mara kwa mara 👉Ugumba(kuchelewa au kutokupata mtoto) 👉Mimba kutoka mara kwa mara 💥Kama wewe n muhanga wa uvimbe kwenye kizazi au kwenye ovary karib

KAZI ZA CEREBRAIN TABLETS BF SUMA

Image
 FAIDA ZA CEREBRAIN TABLETS *○ Inaboresha seli za kwenye ubongo ufanyajikazi wake* *○ Inawezesha damu kuzunguka vizuri kwenye ubongo* *○ Inaboresha ufikaji wa virutubisho kwenye ubongo* *○ inaboresha coronary artery & damu kuzunguka vizuri kwenye moyo* *○ Inaboresha njia ya hewa na kuondoa pumu* *○ Inaboresha ufanyàji kazi wa ubongo, kuondoa hari ya kuuma kwa kichwa mala kwa mala, hali ya kusahau.* *○ Inaondoa Magonjwa ya moyo yanayosababishwa na kuganda kwa damu* *○ Inapunguza mafuta kwenye damu* *○ Inaondoa uharibifu kwenye mfumo wa fahamu* *○ Inaongeza ufanisi wa macho na masikio* ● *MTUMIAJI* *○ Watu wanaoshughurisha sana ubongo (akili)* *○ Wazee ambao washachoka akili kupunguza kuumwa kichwa na kurudisha kumbukumbu.* ● *Tahadhari* *○ Watu wenye shida ya ubongo kutokana na kuvurugika kwa Mawasiliano ya seli hawatakiwi kutumia (People with epilepsy)* *○ Haitumiwi na watoto, wajawazito na wanaonyonyesha.* *○ Wenye kisukari watumie  kwa ushauli call or text/WhatsAp 0684450076

KUVIMBA TEZI DUME

 Piga simu 0684450076

AntiDiarr BF SUMA FAIDA ZAKE

Image
 MAAJABU_YA_MITI_8_KATIKA_BIDHAA_MOJA  #AntiDiarr  1.Huongeza bacteria wengi wazuri ili kukulinda na maradhi ya tumbo na kinywa  2.Huondoa maumivu yote ya tumbo  3.Huzuia kuharisha kutapika na kichefuchefu ni nzuri kwa wale wanao penda kusafiri na kutapika au kichefuchefu inatibu tatizo ili vizuri sana  4.Husaidia haraka jino linalouma  na kutibu maumivu yote ya kinywa na kulinda kinywa kizipate mambukizi 5.Husaidia kutibu fangasi kinywani  6.Nzuri kwenye shida ya kuvimbiwa  7.Husaidia kupunguza maumivu kwa wenye shida ya p.i.d 8.Hutoa gess tumboni na huongeza hamu ya kula  9.Husaidia wanaume wenyeshida ya kuwai kufika kilele  10.Husaidia wenye shida ya u.t.i  11.Hutoa arufu mbaya kinywan  12.Husaidia wenye tatizo katka mfumo wa upumuaji na nk... Weka oda yako sasa Call/Sms 0684450076

FIDA ZA ARTHROXTRA TABLETS BF SUMA

Image
 BF SUMA ARTHROXTRA TABLETS IJUE ARTHROEXTRA TABLETS N ZAKE KWA MIFUPA NA MAUNGIO  1.Huongeza uteute (synovial fluid) kwenye maungio ya mifupa 3.Huondoa naumivu ya maungio kama nyonga,magoti na mgongo n.k 4.Huzuia kulika na kusagana kwa maungio kwa kuzalisha gegedu mpya (articulate cartilage) 5.Huzuia kulika kwa mifupa na maungio 6.Huondoa tatizo la athritis 7.Huongeza Glucose amine na Chrondroitin kwenye maungio #kazizaArthroXtra  #FaidazaArthroXtr #ArthroXtraTablets Karibu sana Kwa ushauri na Tiba 0684450076

KAZI ZA DETOXILIVE BFSUMA

Image
 BF SUMA DETOXILIVE CAPSULE IJUE DETOXILIVE CAPSULE NA KAZI ZAKE* Bidhaa Hii ni Muhimu sana Kwa kila BINADAMU kutokana na kazi zake MWILINI hasa katika organs muhimu Kama vile Figo ,Ini ,Mapafu ,Kongosho ,Ubongo na nk  Tunatumia vyakula ,Vinywaji na Madawa yenye kemikali na Sumu lakini hatuli vitu vinavyo toa sumu mwilini habar njema ni kwamba DETOXILIVE ni suluisho *Hizi ni Baadhi ya Faida za DETOXILIVE*  1.Huondoa sumu mwilini. 2. Inaimarisha ubongo na kutunza kumbukumbu 3.Inaondoa madhara ya pombe kwa wanywaji na kulinda INI na FIGO  4.Inaondoa mafuta yaliyozidi mwilin, baada ya kula hutumiwa Kuzuia kuota vitambi,  5. Inaondoa sukari iliyozid mwilin Na ni nzuri kwa wenye shinikizo la damu (presha)  6.Huondoa hali ya uzee wa sura na mwili kabla ya wakati 7.Ina ondoa URIC ACID ilio zidi mwilini  8.Huondoa maumivu ya viungo hasa kwenye maungio kwan unbalance kiwango cha uric acid 9.Inaimarisha UTENDAJI KAZI MZURI na kuzuia madhara kwenye FIGO,INI,KONGOSHO,mapafu 10.Inaleta usingizi Mzu

ANATIC SOAP BF SUMA

Image
 Anatic soap sabuni ya asiri yenye uwezo wa kutibu matatizo yangozi kama  1.Muwasho wa ngozi  2.Ngozi yenye mafuta kufanya kuwa kavu na yenye unyevu unyevu  3.Chunusi kwenye ngozi  4.Mba kwenyengozi  5.Harufu mbaya na jasho kali  6.Fangasi ya ngozi na mapunye  Wasiliana sasa ujipatie sabuni nzuri kwa afya ya ngozi yako Piga 0684450076 Au 0758451299

YOUTH EVER BF SUMA

Image
 Youth ever bidhaa hii ni yasili haina kemikali yoyote.  Badhi ya kazi zake Kuru disha umri nyuma kwa kuunda upya speed ya (nad+) ambayo inazuia magonjwa yanayo letwa na uzee kama:-sukari,pressure, kusahau Kuangamiza cell za saratani na kuboresha afya ya moyo  Huondoa mikunjo ya ngozi na kurudisha ngozi katika hali ya ujana yenye mvuto zaidi.  Antioxidant inaondoa sumu mwilini na kuupa mwili nguvu upya na kinga dhizi ya magonjwa  nyemelezi yote. Bidhaa ni ya asili isiyo na kemikali wasiliana  Piga 0684450076 Au 0758451299 Dr_Thabith 0684450076