Posts

CHANZO CHA KUKOSA UJA UZITO FAHAMU

Image
 HOMON IMBALANCE (KUVURUGIKA KWA HOMONI)CHANZO CHA KUKOSA MTOTO :Hili ni tatizo linalowakumba wakina mama(wanawake) wengi ambalo husababishwa na kiwango kidogo cha hormone ya ESTROGEN. *VYANZO VYA KUVURUGIKA KWA HORMONE* ➡Utoaji wa mimba ➡Uwepo wa sumu mwilini. ➡kutokula mlo uliokamili au mfumo mbovu wa maisha. ➡Family history(upungufu wa ongezeko ya homoni ya progesterone ➡mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa. ➡uzito mkubwa ➡Msongo wa mawazo. ➡Kutofanya mazoezi. ➡Matumizi ya kisasa ya uzazi wa mpango. ➡Kukoma kwa hedhi. *Dalili za kuvurugika kwa homoni* ✅Maumivu wakati wa tendo LA ndoa. ✅Kutoshika mimba. ✅Mzunguko wa hedhi kubadilika. ✅Kuongezeka uzito. ✅Kupungua hamu ya tendo LA ndoa. ✅Kupoteza kumbukumbu. ✅Hasira za Mara kwa Mara. ✅Damu kutoka nyingi wakati wa hedhi au kutoa damu yenye mabongemabonge ✅Uke kuwa mkavu. ✅kutoka jasho jingi usiku. ✅maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi ✅mzio wa vyakula/Allerg kuchaguachagua vyakula. *Madhara ya kuvurugika kwa homoni* ✔kutoshika uja

ONDOA MSONGO WA MAWAZO NA REJESHA KUMBUKUMBU

Image
 Je unajua maajabu ya Cerebrain? Cerebrain  nikirutubisho kilichotengenezwa na mmea mashuhuri kwa sifa yake ya uponyaji unaoitwa Gingko Biloba... naomba uusome (google) tena Mmea wa Gingko biloba Kazi kubwa za Cerebrain/Gingko biloba ----------------------------------------------------------------- 1. kuzipa *uhai cells* za ubongo kwa kuhakikisha zinafanya kazi vizuri 2.Husaidia wenye matatzo ya kupoteza kumbukumbu 3.Huwasaidia waliopata shida ya masikio kutosikia vizuri/maskio kupiga kelele kitaalam kama *tinnitus* 4.Huwasaidia wenye shida ya macho kama itatumikana carovision 5.Husaidia watu wanaosikia uchovu mara kwa mara... kichwa kuuma au kukosa usingizi 6.Ninzur kwa wanaofanya kazi za *kompyuta...* 7..inasaidia kufanya damu kuwa nyepesi.. hivo kusaidia mawasiliano katika *ubongo* na viungo vingine mwilini 8..Huwasaidia wale wanaopata shida ya *mkojo* kutoka bila kuzuia..  iwe usiku au mchana 9.Nzuri kwa wanafunzi 18+yrs.*wanachuo wanaopenda kuongeza performance* yao kwani huongeza

MADHARA YA KUTOFANYA MAPEBZI KWA MUDA MREFU

Image
 MADHARA YA KUTOFANYA MAPENZI KWA MUDA MREFU. 1. Hasira za mara kwa mara kwa mambo madogo. 2. Kupendelea sana kuangalia picha za uchi. 3. Kusahausahau. 4. Kupendelea story za mapenzi, 5. Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (wadada). 6. Kupenda kurukiarukia mambo ya watu Wengine (Kufuatilia yasiyokuhusu). 7. Kuumwa na kichwa. 8. Kukakamaa mgongo (wanaume). 9. Kupoteza umakini katika kazi. 10. Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi. 11. Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo kama mbadala, mfano ulevi nk. Suruhisho piga 0684450076

DALILI ZA HORMONE ZA KIUME ZILIZO ZIDI KWA MWANAMKE

Image
 Dalili za kwamba una homoni za kiume zilizozidi Kwa Mwanamke na Tiba yake. 👇🏼 😥kuota nywele nyeusi usoni kifuani, mgondoni, kwenye mikono, mapaja ama sehemu zingine ambazo siyo kawaida kwa wanawake. 😥Chunusi nyingi kupita kiasi 😥Kuota kipara 😥Matiti kuwa madongo sana 😥Misuli kukua na kujaa 😥Kisimi kuwa kirefu sana sauti nzito ✊🏽Nini kinapelekea mwanamke kuota ndevu? Kila mtu ana vinyweleo kwenye ngozi yake na ni jambo la kawaida kabisa. Kazi ya vinyweleo hivi ni kurekebisha joto la mwili kwa kuruhusu jasho kutoka ama mwili utunze maji. Wakati wa kubalehe, homoni za kiume(androgens) huongezeka sana na kupelekea vinyweleo hivi kuwa vikubwa mpaka kuwa nywele kamili ambayo ni ndefu na nyeusi.  Hii ni kwa wote mwanamke na mwanaume. Wote wana homoni za kike na za kiume ndani yao, ila tu mwanamke ana homoni kidogo za kiume na mwanaume ana homoni kidogo za kike. Homoni hizi huendelea kubadilika kadiri umri wako unavosogea, unavobadilika uzito, kushika mimba na pia unavokaribia kukoma

SABABU ZA KUSHINDWA RUDIA TENDO NA TIBA

Image
 leo tuangalie kanuni 5 ambazo Unaweza kuzitumia, Na zikakusaidia kurudia tendo la ndoa kirahisi zaidi. Kanuni ya WANZA👇 ➡️ Jua UWEZO WAKO wa kurudia tendo, Je unarudia baada ya dk 5 au dk 10, au dk 30 au Ngapi?? Kumbuka kila mmoja ana uwezo wake binafsi. Kama hauujui pia USIWAZE endelea kusoma ujumbe huu mpaka mwisho.... Kanuni ya PILI👇 ➡️ Hakikisha unajizuia USISINZIE baada ya kumaliza cha kwanza, Tunafahamu kwamba unapo maliza round ya kwanza, Huwa kuna ka usingizi ka kishetani kanatupitia, Ili usiweze kurudia bao la Pili, 🙈 Sasa haka ka usingizi unatakiwa KUKAKEMEA kwa kufanya mambo yafuatayo; ▪️ OGA maji ya vuguvugu kama utaweza. ▪️Kama wewe ni Muislamu basi SHIKA UDHU. Huo usingizi hautakupata na utarudia tendo la ndoa vizuri tu. Kanuni ya TATU👇 ➡️ Piga story za KUONGEZA HISIA na mke wako, Wakati ukipiga nae stori shika zile sehem Ambazo, Huwa unazitamani zaidi kwa mke wako, Inaweza kuwa makalio, Chuchu, nywele n.k Hii itakusaidia kukupa muhemko wa kurudia bao la pili na la t

NJIA ZA KUONDOKANA NA KIBAMIA/UUME MDOGO KAMA MTOTO

Image
 *Watu wenye tatizo hili la kibamia wamegawanyika katika sehem mbili* Kuna wale ambao uume wao ukiwa umesimama, Ndo unaonekana MKUBWA, Lakini ukiwa umelala unaonekana MDOGO, Huyu tunasema hana tatizo la KIBAMIA, Na haitaji tiba yoyote. Lakini pia kuna wale ambao uume ukiwa HAUJASIMAMA, Unaonekana Kibamia na ukiwa UMESIMAMA pia unaonekana Kibamia, Huyu tunasema analo tatizo la kibamia. ➡️ Sasa basi tuone sababu 5 zinazo Pelekea Tatizo hili la Kibamia; ▪️ HORMONES Katika mwili kuna Hormone Inayohusika na ukuaji wa Viungo, Hormone hii inapo kua Chini hupelekea viungo vya mwili, Kukua taratibu ikiwemo uume pia. ▪️ KITAMBI Kitambi kinasababisha uume kurudi ndani, Hivyo kama una kitambi na una Kibamia ujue chanzo ni kitambi. Ijapokuwa kuna wengine wana kitambi na mashine ipo vizuri tu. ▪️ POMBE NA SIGARA Pombe na sigara vyote kwa pamoja vinasababisha uume kusinyaa, Kutokana na kemikali zinazo patikana katika vitu hivo. ▪️ MAWAZO / STRESS Mawazo yakizidi ni sababu ya mtu kuwa na Kibamia. ▪️ V

MIPASUKO/MICHANIKO KWENYE ULIMI NA TIBA YAKE

Image
  TATIZO LA MIPASUKO KATIKA ULIMI 📚 Ulimi wa mtu kwa mipasuko tiba piga 0684450076 kawaida hautakiwi kuwa na mipasuko ya aina yoyote .  Sasa hawa watu wenye ulimi uliopasuka huwa hawana maumivu , isipokua tu labda kama kuna chakula kimekwama kwenye hiyo mipasuko ndio muhusika atahisi maumivu 📚 Mipasuko hii huweza kuwa iliyochimbika sana au kiasi tu. Wazee ndio hupatwa sana na hii mipasuko ya ulimi , japo yeyote yule anaweza kuwa na ulimi wa hivi. Wanaume ndio huwa zaidi na tatizo hili kuliko wanawake 📤 NINI HUSABABISHA HALI HII ? Hadi sasa , wataalamu hawajui ni nini hupelekea hali hii ya mipasuko kwenye ulimi , japo ina amini kwamba watu wenye undugu (genetics) huweza kuwa na tatizo hili na wengine wasiwe nalo . mfano katika familia , unaweza kuta mzazi ana tatizo hili na watoto pia . Mfano : Kuna tafiti ilifanyika na ikabaini kwamba watu wa South Africa ni 0.6% tu ya watu wote ndio wana tatizo hili la mipasuko kwenye ulimi , lakini Katika Taifa la Israel 30.6% ya watu wote ndio wa

SABABU YA MATATIZO YA MACHO KUTOONA VIZURI

Image
  SABABU YA MATATIZO YA MACHO!!..📌📌📌 watu wengi sana siki hizi wamejikuta wakipata matiizo mbalimbali ya macho hasa maumivu makali,macho kuwasha,kutokuona vizuri , maumivu ya kichwa au macho kuwa mekundu bila kujua sababu ni upi..  SABABU YA UGONNJWA WA MACHO 🌻🌻🌻🌻 🩺 *LISHE DUNI!!!*  lishe duni hasa yenye upungufu wa madini ya zinc, OMEGA3, vitamini A,C na E, hudhohofisha nguvu misuli ya macho  na hivyo kupata changamoto ya kuona . 🩺 *MWANGA MKALI SANA* !! wengine hujisamea kwenye taa za mwanga mkali hivyo kuumiza macho na kuchisha misuli ya macho na hatimaye macho kuuma au kuwa makavu sana.. 🩺 *MAGONJWA YANAYOHUSIANA NA MACHO* . watu wenye magonjwa kama vile KISUKARI,PRESHA, ALBINO nk hukumbwa na tatizo la macho kwa muda mrefu. 🩺 *MCHAFUKO WA DAMU AU SUMU NYINGI MWILINI* !!. matumizi ya dawa zenye kemikali mara kwa mara, uvutaji wa sigara na mchafuko wa damu husababisha maumivu ya kichwa,kukosa usingizi na matatizo ya kutokuona vizuri.. 🩺 ATHARI ZA KEMIKALI KWENYE MACHO Wen

MAUMIVU WAKATI WA HEDHI NA TIBA

Image
  Nini sababu ya maumivu makali ya hedhi ? 1.kuota kwa tishu (nyamnyama) maeneo mengine tofauti na tumbo la mimba. Kitaalam hali hii inatambulika kama endometriosis. Hali pia inaweza kuwa na dalili zifuatazo:- A.Kutokwa na damu nyingi sana wakati wa hedhi B.Hedhi kuchukuwa siku zaidi ya 7 C.Kutokwa na damu kabla ya siku za hedhi kufika D.Maumivu ya tumbo E.Maumivu wakati wa tendo la ndoa F.Kupata maumivu wakati wa haja kubwa. G.Kuchelewa kupata ujauzito 2.Shida kwenye mfumo wa homoni, hali hii kitaalamu inatambulika kama Polycystic Ovary Syndrome (PCOS). hali hii ni ya kawaida sana takribani kwa kila wanawake 10 mmoja wao huwa na hali hii. Miongoni mwa sababu kuu ni kuwa na homoni za kiume nyingi (androgens) na kutokuwa na siku maalumu za kupata hedhi. Hali hii inaweza kuwa na dalili kama: A.Kutokwa na damu nyingi sana B.Kupata hedhi kwa muda mrefu C.Kuota ndevu ama mwele kuwa nyingi maeneo mbali mbali ya mwili kama ilivyo kwa wanaume D.Kuwa na uzito mwingi na usio rahisi kuupunguza E.

UUGONJWA WA BAWASIRI DALILI MADHARA DALILI NA MATIBABU YAKE

Image
  VYANZO  VYA BAWASIRI ✔Kuwa na uzito kupita kiasi ✔kutumia nguvu kupush wakati wa kujifungua ✔kukaa sana juu ya kitu kigumu ✔kufanya ngono kinyume na maumbile ✔kupata choo ngumu ✔kula sana nyama nyekundu ✔pressure ya kupanda ✔kula sana pili pili ✔kula udongo ✔kutumia vyoo vya kukaa ✔kuharisha kupita kiasi ✔kunyanyua vitu vizito MADHARA YA BAWASIRI ✔upungufu wa damu ✔kutokwa na ki nyesi bila kujitambua ✔kukosa hamu ya tendo la ndoa ✔upungufu wa nguvu za kiume ✔kuathirika kisaikolojia ✔kutopata ujauzito ✔mimba kuharibika ✔kupata cancer ya utumbo ✔mwili kudhoofika Pata Suluhisho la tatizo lako sasa.  0684450076

MIPASUKO KATIKA ULIMI

Image
 TATIZO LA MIPASUKO KATIKA ULIMI 📚 Ulimi wa mtu kwa kawaida hautakiwi kuwa na mipasuko ya aina yoyote . Sasa hawa watu wenye ulimi uliopasuka huwa hawana maumivu , isipokua tu labda kama kuna chakula kimekwama kwenye hiyo mipasuko ndio muhusika atahisi maumivu 📚 Mipasuko hii huweza kuwa iliyochimbika sana au kiasi tu. Wazee ndio hupatwa sana na hii mipasuko ya ulimi , japo yeyote yule anaweza kuwa na ulimi wa hivi. Wanaume ndio huwa zaidi na tatizo hili kuliko wanawake 📤 NINI HUSABABISHA HALI HII ? Hadi sasa , wataalamu hawajui ni nini hupelekea hali hii ya mipasuko kwenye ulimi , japo ina amini kwamba watu wenye undugu (genetics) huweza kuwa na tatizo hili na wengine wasiwe nalo . mfano katika familia , unaweza kuta mzazi ana tatizo hili na watoto pia . Mfano : Kuna tafiti ilifanyika na ikabaini kwamba watu wa South Africa ni 0.6% tu ya watu wote ndio wana tatizo hili la mipasuko kwenye ulimi , lakini Katika Taifa la Israel 30.6% ya watu wote ndio wana hii hali. Sasa unaweza ona kw

Madhra ya Punyeto Kwa Mwanaume

Image
 MADHARA ya kupiga punyeto Yafuatayo ni madhara ya kupiga punyeto au wengine huita puli(masturbation)  ❤1. punyeto humfanya uume kua lege lege na kuonekana mdogo/kibamia na usio jaza yaani mwembamba kabla ya awali  ❤2. Husababisha mwanamume kutoa mbegu haraka kipindi cha tendo la ndoa na mwanamke na kushindwa kumfikisha mwanamke kileleni.... (Premature ejaculation) anaweza akajikuta akigusa tu nanii ndani ya dakika cha he mheshimiwa anatapika.  ❤3. Ni moja ya chanzo Kikuu cha kupoteza nguvu za kiume, uume kusinyaa na kukosa nguvu kwa sababu ya kuharibu mishipa ya fahamu wakati MTU akijisugua katika kulitafuta bao  ❤4. Hupunguza idadi ya mbegu za kiume (low sperm count) hivyo ni mbaya sana kwa watu wanaotafuta mtoto na huleta infection na kusababisha,manii kuwa nyepesi na unapofanya jimai manii kutoka kwa mkewe badala ya kuingia ukeni na huweza kuwa sababu ya kutopata mtoto  ❤5. Husababisha mtu kusahau sahau sana na kushindwa kufanya vitu kwa makini zaidi  ❤6. Huleta utumwa wa kifikra k

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗭𝗜𝗡𝗔𝗭𝗢 𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗨𝗠𝗘 𝗔𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗪𝗘 𝗦𝗜𝗠𝗔𝗠𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗩𝗜𝗭𝗨𝗥𝗜 𝗨𝗨𝗠𝗘

Image
 𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗭𝗜𝗡𝗔𝗭𝗢 𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗨𝗠𝗘 𝗔𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗪𝗘 𝗦𝗜𝗠𝗔𝗠𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗩𝗜𝗭𝗨𝗥𝗜 𝗨𝗨𝗠𝗘 𝗪𝗔𝗞𝗘 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗪𝗔 𝗟𝗘𝗚𝗘 𝗟𝗘𝗚𝗘 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗪𝗔 𝗥𝗨𝗗𝗜𝗔 𝗧𝗘𝗡𝗗𝗢 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗧𝗜𝗕𝗔. Hisia za tendo la ndoa kwa mwanaume ni mchakato tatanishi unaohusisha ubongo, homoni, hisia, mishipa ya fahamu, misuli na mishipa ya damu. Hali ya uume kushindwa kudindisha inaweza kutokana na matatizo yanayokuwa katika sehemu hizo nilizozitaja.      Vile vile, msongo wa mawazo na magonjwa ya akili yanaweza kusababisha hali ya uume kushindwa kudinda au kusimama  Wakati mwingine mchanganyiko wa matatizo ya mwili na akili husababisha uume kuishiwa nguvu. Kwa mfano, hali ndogo ya mwili ambayo inayopunguza hamu ya tendo la ndoa inaweza kusababisha mashaka juu ya kurekebisha afya ya uume wako kuweza kudindisha. °°Matatizo Ya Mwili Yanayosababisha Uume Kushindwa Kudindisha: Katika visa vingi mbalimbali, kupungukiwa nguvu za kiume husababishwa na kitu cha kimwili. 𝕍

SABABU ZA KIDOLE TUMBO NA MATIBABU BILA UPASUAJI

Image
 Posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa wa Kidole ambao kitaalamu hujulikana Kama Appendicitis. Kidole tumbo husababisha maumivu kwenye tumbo la chini la kulia.  Hata hivyo, kwa watu wengi, maumivu huanza karibu na kitovu na kisha kusonga. Kadiri uvimbe unavyozidi kuwa mbaya, maumivu ya appendicitis huongezeka na hatimaye huwa makali. Nini kinasababisha ugonjwa wa kidole tumbo? kidole tumbo husababishwa na vitu vifuatavyo. minyoo kuingia ndani ya kidole tumbo vitu vya nje ya mwili kama mchanga. kinyesi kujaa na kuingia hapo kuvimba kwa tezi za tumboni. DALILI 👇🏼  Ishara na dalili za kidole tumbo(appendicitis)  1.Maumivu ya ghafla ambayo huanza upande wa kulia wa tumbo la chini 2. Maumivu ya ghafla ambayo huanza karibu na kitovu chako na mara nyingi huhamia kwenye tumbo lako la chini la kulia 3. Maumivu ambayo huongezeka ikiwa unakohoa, kutembea au kufanya harakati zingine za kusumbua  4.Kichefuchefu na kutapika  5.Kupoteza hamu ya kula  6.Homa ya kiwango cha chini ambayo inaweza

SABABU ZA MWANAUME KUSHINDWA MPA UJAUZITO MWANAMKE

Image
 ```NGUVU YA MEN'S KIT PACKAGE KWENYE MFUMO WA UZAZI WA MWANAUME💪🏿👇``` Mwanaume, aibu za kuwahi kufika kileleni zinaepukika Kushindwa tungisha ujauzito zinaepukika. Anza Tiba Leo. ZIJUE FAIDA ZAKE ITAKUSAIDIA; ➡️Kuondoa tatizo la Kuwahi kufika kileleni ➡️Kuongeza uzalishaji wa mbegu za kiume ivyo kusaidia kutungisha ujauzito kwa halaka ➡️Kuondoa tatizo la Homon Imbalance ➡️Kuzuia maumivu ya korodani na Korodani kupanda juu ➡️Kuimarisha na Kuongeza nguvu katika mirija ya uume ➡️Kuupa Msuli wa Pelvic nguvu ➡️Kuepusha uume Kusinyaa katikati ya tendo la ndoa ➡️Kuzalisha mbegu Zenye ubora na kuzuia Ugumba/Utasa kwa mwanaume ➡️Kusafisha kibofu Cha Mkojo ➡️Kuzuia na kutibu maambukizi kwenye Uzazi, maumivu ya mgongo na tumbo kwa mwanaume ➡️Kuzuia Korodani kuvimba au kusinyaa *USIHANGAIKE TENA MWANAUME💪🏿💯* *#WASILIANA NASI. PIGA/WHATSAPP;  +255684450076 . Bei. Tsh150000

TATIZO LA KUWAI KUFIKA KILELENI NA MATIBABU YAKE

Image
 TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI MAPEMA  (Pre mature ejaculation ) Pre mature ejaculation ni nini? Hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mke  wake. Tatizo hili limekua likiwapata wanaume wengi na kujisikia aibu mbele za wenzi wao pale wanaposhindwa kuendelea kabisa baada ya hali hii kutokea. Kimsingi mwanaume anatakiwa achukue dakika nane mpaka kumi na tano kabla ya kutoa mbegu za kwanza lakini watafiti wanasema tatizo hili hugundukiwa mtu anapotoa mbegu ndani ya dakika moja au kabla ya dakika moja. Tatizo hili huweza kutokea mara tu baada ya kubalehe,{primary pre mature ejaculation}  Muda mrefu baada ya kubalehe{secondary PE} au kutokana na aina ya mwanamke uliompata.{situational PE} Chanzo ni nini? Tatizo hili halina sababu za kitaalamu zilizofanyiwa utafiti zikakakubalika ila wanasayansi wanaamini sababu zifuatazo zinaweza kua chanzo kikuu cha tatizo hilo. ✔️Kupiga punyeto au kujichua; Mara

MADHARA YA PUNYETO YANAVYO SABABISHA UUME KUWA MDOGO KAMA WA MTOTO MDOGO

Image
 Mtu anayepiga punyeto husababisha mambo yafuatayo katika mwili wake : 1. Huua nguvu ya mishipa & misuli ya uume ambayo ndio inayo husika na kusimama kwa uume 2. Mishipa ya uume inapo sinyaa na kukosa nguvu yake ya asili, husababisha mambo yafuatayo : i. Huondoa uwezo wa mishipa & misuli ya uume kutanuka, na hii ndio sababu inayo wafanya waathirika wa punyeto kutumia nguvu nyingi sana katika kuufanya uume usimame. ii. Huondoa uwezo wa mishipa & misuli ya uume kuibana na kuiziba mishipa ya vena, na hii ndio sababu inayo fanya waathirika wa punyeto kufika kileleni haraka sana, kwani damu inayo ingia kwenye misuli ya uume hufyonzwa ndani ya muda mfupi sana. Hii hutokea kwa sababu mishipa na misuli ya uume inakuwa imelegea,na mishipa ya vena inakuwa imepwaya, hivyo msuguano wowote ule hufanya mishipa ya vena kufunguka na kufyonza damu kutoka kwenye mishipa ya uume na hivyo kuufanya uume kusinyaa ndani ya dakika ama sekunde chache sana. 3. Vile vile punyeto hufanya uume kusinyaa

SABABU ZINAZO SABABISHA UPUNGUFU NGUVU ZA KIUMME

Image
 𝗞𝗨𝗛𝗜𝗠𝗜𝗟𝗜 𝗧𝗘𝗡𝗗𝗢 𝗩𝗜𝗭𝗨𝗥𝗜 zingatia 𝗠𝗔𝗠𝗕𝗢 𝗠𝗔𝗡𝗡𝗘 (4) yawe imara katika mwili wako ili kufanya performance yako iwe imara muda wote. 𝟭) √𝗠𝘇𝘂𝗻𝗴𝘂𝗸𝗼 𝘄𝗮 𝗗𝗮𝗺𝘂 ©Hapa ndipo performance ya tendo ilipolalia kwa asilimia zaidi ya 70 Ili usimamishe imara na Muda mrefu Damu inatakiwa ifike ya kutosha kwenye dhakari yako. 𝟮) ✓𝗠𝗶𝘀𝘂𝗿𝗶 ©Hapa ni mhimu sana maana mashine yako haiwezi kuwa bora kama misuri imelegea inaweza kuwa chanzo ni punyeto,Maradhi ya Muda mrefu mpangilio mbovu wa vyakula Unene kuzidi n.k 𝟯) ✓𝗛𝗼𝗿𝗺𝗼𝗻𝗶 ©Hapa ni muhimu sana maana Ili taarifa za msisimko wa tendo ziendelee kudumu kwa Muda mrefu mwilini inahitaji hormoni ziwe sawa Ili kukufanya ufikilie tendo tu na usipoteze hisia. 𝟰) ✓𝗠𝗺𝗲𝗻𝗴'𝗲𝗻𝘆𝗼 𝘄𝗮 𝗰𝗵𝗮𝗸𝘂𝗹𝗮. ©Hapa ni muhimu sana maana Ili mwili uweze kuvuta madini , protein na vitamins ambazo zinahitajika sana katika mwili ili kukuweka imara zinahitaji usafi wa utumbo wako.Kumbuka kupata choo kigumu kukosa choo k

FAHAMU UGONJWA WA P.I.D NA MATIBABU

Image
 🔻JE WAJUA NINI MAANA YA MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI? JIFUNZE SASA, SABABU, DALILI, MADHARA, NA TIBA 🔻 Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Diseases au kwa kifupi PID, ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake.  ▪️CERVIX  hali ambayo hujulikana kama cervicitis, ▪️ ENDOMETRIUM kitabibu huitwa endometritis, ▪️ FALLOPIAN TUBES  kitabibu kama salpingitis. 🔻 P. I. D HUSABABISHWA NA NINI? 🔻  Aina kadhaa za vimelea kuhusishwa na PID,  ▪️ Neisseria Gonorrhoeae ▪️Chlamydia trachomatis ndivyo vinavyoongoza kwa umaarufu zaidi katika kusababisha PID kwa akina mama. Je mwanamke huambukizwaje PID? Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na ▪️Kufanya ngono isiyo salama ▪️Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period) ▪️Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage) ▪️Kutumia

MATIBABU CHOO KIGUMU TUMBO KUJAA GESI

Image
 FAIDA ZA CONSTIRELAX #Inasafisha tumbo vizuri mno na kuondoa hali ya kuvimbiwa (constipation) #Inaondoa sumu zote tumboni ○ Inaondoa dalili za Bawasiri sugu (Acute Hemorrhoids) kama kuvimba, kutoka damu. #Inaboresha mzunguko wa maji maji mwilini na kuondoa viuvimbe vinavyo sababishwa na maji maji. #Inasaidia kutibu aina mbali mbali ya vidonda vya tumbo (Peptic & Gastric) #Tiba nzuri ya Mawe kwenye figo. #Inaboresha ngozi yako kwa kuondoa sumu ndani. #Inaondoa gesi na uchafu wote usiotakiwa tumboni .  ● VIUNGO (INGREDIENTS) #FOS (Fructo-oligosaccharide #Radix Astragali #Prebiotic  ● MATUMIZI ○ Sachet 1 mara 2 kwa siku kabla ya chakula ○ Kwa watoto nusu Sachet mala 2 kwa siku kabla ya chakula kwa siku.  ● TAHADHARI ○ Kwa watakaotumia mara ya kwanza wengine itawaletea hari ya kuvulugwa tumbo na hata kuhara au gasi na kuunguruma kwa tumbo Hii ni kawaida inatokana na kusafisha tumbo na kuondoa bacteria (phenomenon) hali itaisha kadri anavyoendelea kutumia. Piga simu 0684450076 Kujipati

AFYA NA UZIMA SOMA HAPA

Image
 AFYA NA UZIMA     Afya na Uzima tupo hapa kukupa ushauri wa namna bora ya kuishi, jinsi ya kujikinga na magonjwa yasiyo ambukiza ili kua mzima mwenye afya bora. Tunatoa huduma popote ulipo kwa njia ya simu kwa kupitia vituo vyetu vilivyopo Tanzania nzima. Tunazo bidhaa bora zitakazokupa afya na uzima Tunapatikana Dar-es-salaam, Dodoma, Arusha, Mwanza, na mikoa yote.  kwa mawasiliano   TUNATOA MATIBABU NA USHAURI KWA MIFUMO YOTE YA MWILI KWA KUSHUGHULIKIA CHANZO CHA TATIZO KWA KUTOA BIDHAA BORA KWA CHANGAMOTO ZIFUATAZO. v  Mfumo wa viungo na mifupa v  Mfumo wa uzazi v  Kinga ya mwili v  Mfumo wa damu v  Kupunguza uzito v  Mfumo wa mmeng’enyo wa chakula. v  Makuzi na afya bora kwa watoto v  Bidhaa za afya kwa matumizi ya kila siku nyumbani v  N.k                                                BIDHAA ZA VIUNGO NA MIFUPA. Ø ARTHROXTRA.     - Ni muhimu sana kwa Afya za viungo vya mwili, wafanya mazoezi, wanajeshi, wacheza mpira, wamama wote, wanaopenda wanaopenda kuvaa viatu virefu(high he

KUPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME VYANZO VYA TATIZO NA MATIBABU

Image
  CHANZO, DALILI & TIBA UTANGULIZI – LIJUE TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. atizo hili huripotiwa kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kuto kuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba. Hili tatizo huwanyima watu raha kwa kuwa na mawazo, kuwa na matatizo katika mahusiano, watu wengi wenye tatizo hili wanahitaji kutumia dawa zisizo na madhara na kubadilisha mitindo ya maisha yao ili kuweza kurudisha hali zao na kuondoa tatizo, cha msingi ni kuzingatia yale utakayoelekezwa. Kuna matatizo ya kutofanya mapenzi kikamilifu, nayo ni; kuwahi kumwanga mbegu za uzazi, Kuto kumwaga, kutokuwa na hamu ya tendo la ndoamaxresdefault (1) CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME Tatizo la nguvu